EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Yaani odinga alikosea kusema ataongoza kama fulani wakenya wakaona mbali [HASHTAG]#UHURUTANOTENA[/HASHTAG]
Mbona unatoa weak comment kama hii? Mara ya kwanza Uhuru alichaguliwa lini? na aligombea na nani? Inauhusiano gani na Magu?
 
matokeo ya kutengeneza hayo ndo maana yalitanguliwa na mauaji ya kiongozi wa tume hopeless kenya hopeless democracy laila samper fidels
Nani kakudanganya hayo?wakati huu mtahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwa
 
Tunaomba watanzania mutume majeshi kumuondoa huyu jambazi kwa jina uhuru. Kwa kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu! Hivi alivyokuwa akikariri mambo ya kudumisha amani, nilijua tu mipango ya uwizi ushaiva. Tofauti na mwaka wa 2007 kibaki alivyoiba kura kijinga jinga tu, sasa wamegundua uwizi wa kimitambo.
Ya kweli hayo!!

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Screenshot_2017-08-09-07-38-20.png
 
Back
Top Bottom