balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Saa hii mutu napewa kura mujanja anayejua maisha,siyo kama Tanzania walichagua mutu ya shamba saa hii wanakoma.lakini Laila anadanganywa na wapambe wake waliodhani atashinda! jamani kwa nyakati za leo watu wanaenda pia na haiba ya mtu. hivi kweli wataacha kuchagua mutoto wa mujini wamchague mtu toka kule porini? Je alikuwa vetted na "Muthaiga club"?🙁😛😀🙂
Unajifuta machozi ya oktoba 2015?Mkumbuke Kenya pia kuna CCM ile ya ruto, mgombea wa nchi yoyote atakae ungwa na CCM hata shinda kamwe.
....ma me mi mo mu testing testing! Mbona mitambo iko sawa tu, au ni nini hicho mnachofanya?.....ka ke ki ko ku
Pakashume Lowassa according to Tapeli anayetumia jina la Nyerereduh!! 2013.. 14.. 15.. 16.. 17?!!!!
Haijalishi, cha msingi Raila chali, maombi ya mange Kimambi yametiki. Asubiri airport ikamilike chattle akamwage chozi apate hata uDc mpakani kule kwa wajaluoIwapo kijana Uhuru na Ruto na chama chao cha Jubilee wakishinda urais, basi wapinzani wa Tanzania watakili:
Ila mwaka fulani hao hao wapinzani walishawahi kumshabikia mzee Odinga na aliposhindwa na kusema ameibiwa kura waliwahi kukili
- Uchaguzi ulikuwa huru na haki
Tanzania tuna wapinzani wachumia tumbo, bendera fuata upepo, wanafiki, hawana msimamo, ni wezi wa kiasaikolojia, hawana maadili, hawafai hata kuaminiwa.
- Uchaguzi haukuwa huru na wa haki
Huyo octopizo bangi itakuwa imempanda kichwani , akili itamkaa sawa atakapofikishwa the HagueHii mambo inaanza kukaaje tena ..woii
What goes around always comes around
Nijukumu la Rails kuwatuliza wafuasi wake. Nikweli kuwa kapigwa lakini atangulize uzalendo kwanza.
Kwenye last opportunity!![emoji3]PICHA ZA ZAMANI
si hajashinda yeye...unadhani angekua anaongoza angelalamika huyu.....muda wake umepita alishindwa kusoma alama za nyakati....Sasa mbona analalamika kaibiwa ?