balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Saa hii mutu napewa kura mujanja anayejua maisha,siyo kama Tanzania walichagua mutu ya shamba saa hii wanakoma.lakini Laila anadanganywa na wapambe wake waliodhani atashinda! jamani kwa nyakati za leo watu wanaenda pia na haiba ya mtu. hivi kweli wataacha kuchagua mutoto wa mujini wamchague mtu toka kule porini? Je alikuwa vetted na "Muthaiga club"?🙁😛😀🙂
Sent using Jamii Forums mobile app