Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No one mismanage the votes in favor of ruling incumbent rather nonsensicity na stupidity of this RAO friend of bogus chattle's boyBut what about those who mismanage the votes in favour of the ruling incumbent.
kwa hiyo demokrasia kwenu kumbe ndo hiyo nilikuwa sijui. ccm ina waona ujue na u know what it meansHuwezi kumuunga mkono mgombea urais ambaye anasema atatawala kama Magufuli, Magufuli ni dikteta asiyefuata utawala wa sheria anaamini utawala wa One man show ambao ni mfumo wa madikteta yote duniani, hivyo Wakenya hawahitaji rais jamii ya Magufuli, Kagame, Nkurunziza na Museveni maana wao wanaamini katika utawala wa kidemokrasia
Hata Mimi nawashangaa wapinzani wanaofurahia yanayoendelea huko Kenya, nilitegemea waumie na kuwa na hofu kuwa yanaweza kuwapata kama ambayo NASA wanalalamikia pasipo kuzalisha ukweli wake.chadema walitangaza kuunga mkono chama tawala katika mojawapo wa nchi jirani.
chadema wanadai Kenya kuna demokrasia ila procedure za kutangaza matokeo ukweli zinatia Mashaka! je hii ni demokrasia tunayoiamini wote? naamini hili ni kosa la pili kubwa la chadema kutoka kwa chanzo kilekile.
mkija kufanyiwa nyie msilalamike Kabisa.
Wanapunguzana kwanzaJamani Hata Wakifanya Fujo Aliyeshinda Kashinda, Maisha Lazima Yaendelee
Nani akubalishe yaishe?Aliyeshindwa?Aliyeiba kura?Aliyekataa ushindi?Something is very wrong in the way African think.Hawa jamaa hii kitu itawagharimu sana, si wakubali yaishe.
Na aliyeiba kura kaiba kura?Sasa uchaguzi wa nini? Kuna haja ya uchaguzi kufanyika kwa namna ambayo utaaminika kuanzia mwanzo hadi mwisho.Ndipo sasa wagombea nao wapewe jukumu ya kuwajibika kukubali matokeo.Ila sio mwizi kumlazimisha aliyeiiwa kukubali matokeo kwa vile yeye ndie anafaidika.Tukifikia huko ndipo tutakuwa watu.Kwa sasa bado sisi ni km nguruwe tuu. hatujui kitakatifu na najisi.Aliye shinda Kashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Is it bussy or busy?Brother, are you that bussy?
Mutapewa enyi watu ya odmTunataka forms, wacha maneno
Mkuu usinisahau kwenye usuluhishi maana na mimi nimesomea masuala ya usuluhishi wa Migogoro.