LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Hawataleta anything about vita. Thats like incitingNgoja niweke Citizen Tv nione kinachojiri
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataleta anything about vita. Thats like incitingNgoja niweke Citizen Tv nione kinachojiri
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Ni huyo huyo jamaa alitupwa kwenye wizara kali sana lakini ni mzee anayejituma, kwenye management ako sawa! Alifanikiwa sana kwa kazi yake wakati alipokuwa anasimamia Utalii Hotels na Utalii Colleges.Hivi huyu Ole Lenku ndio aliwahi kuwa waziri wa usalama eah!!? Jamaa yupo vizuri sana basi tu al shabab walimharibia na miugaidi yao
Anatumia sijui iphone nn bado mpyaaaIs it bussy or busy?
Kweli wakenya si watu wa mchezo mchezo! Naona wameanza kumkimbiza mwizi!washakinukisha
Kwani kuna aliyekataa ushindi??Aliyeshindwa akubali mkuu kwa nini ang'ang'anie madaraka wakati wananchi ndio wameamua.Nani akubalishe yaishe?Aliyeshindwa?Aliyeiba kura?Aliyekataa ushindi?Something is very wrong in the way African think.
Ila nyie mnajua kuunga mkono wagombea nje ya nchi yenu, kwetu hamuwezi? Acha ukilaza wako, we utakuwa ni feki tu.Mkumbuke Kenya pia kuna CCM ile ya ruto, mgombea wa nchi yoyote atakae ungwa na CCM hata shinda kamwe.
wangemwacha yule boss bila kumuua, kwasababu kama kushinda jamaa angeshinda tu. ona sasa jamaa kaacha mjane na mayatima, plus maumivu ya muda mrefu kwenye mioyo ya watu.
Some how brother.... kwema lakiniBrother, are you that bussy?
mkuu huku niliko mambo freshy kabisa..hamna hali yoyote yenye utata kila mtu yupo hamsini zake.. waluo,waluhya,wakisii,wakalenjin,wakikuyu,waswahili na makabila mengine mengi tunaendeleza shughuli zetu za kusaka mahela..haturudishwi nyuma na ushenzi na tamaa ya ubinafsi
Nabona nkoi, amakoye galemingeMkuu hiyo ni JF Identity tu: haina uhusiano wowote na duo citizenship.😉😉😉😉😉😉😉😉
Kwani Tanzania bila Pesa nini kinaenda?Hembu tujiongeze?Kazi?Mke?Elimu?Mkopo?Kenya bila pesa hakuna kitu chochote unaweza Fanya....
Km issue ni aliyeiba arudishe kura? Kushinda au kutoshinda sio issue tena.Kwa vile wizi ndio unaamua mshindi na sio kura.Sasa nani akubali hapo?Kwani kuna aliyekataa ushindi??Aliyeshindwa akubali mkuu kwa nini ang'ang'anie madaraka wakati wananchi ndio wameamua.
Acha kuwa mvivu wa fikra wwAtupe update nae huyu mbn kimya:
Mombasa kitabia sio kenya na violence kwao ina sababu tofauti na chaguzi kwa vile hazina faida na hasara kwao sana ktk maisha ya kila siku. Drama za Kenya zipo Nairobi sana ndio ambapo POWER yote ya kenya imekusanywa pale.Vizuri bro. Hali ni tulivu sehem nyingi za Mombasa. Tunaomba kuendelee hivi hivi. PEACE.