EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

15:35

Mgombea wa pili wa urais nchini Kenya Dkt Ekuru Aukot amekubali kushindwa.

Ndiye wa pili kutangaza kushindwa baada ya Dkt Japheth Kavinga Kaluyu kukubali kushindwa jana.

Dkt Aukot amesema anaamini "Wachache walipata fursa ya kusikika, na wengi walishinda."

"Jiwe la Daudi halikumuweza Goliathi wakati huu, na asiyekubali kushindwa si mshindani," amesema.

Ametoa wito kwa Raila: "Hatungekuwa hapa bila wewe, demokrasia ya Kenya ya sasa haiwezi kuzungumziwa bila wewe kuwepo.

Kenya yataka kusonga mbele, Wakenya wanataka kurejelea shughuli za kawaida.

Kwa kuchunguza Fomu 34A tulizopata, tumegundua kwamba hakuna sababu ya kuamini kuna chochote kitabadili matokeo ya sasa."

Amemtaka Rais Kenyatta, akitangazwa mshindi, aunde serikali yake kwa kujumuisha wote.

Dkt Aukot amedokeza kwamba huenda akawania tena urais mwaka 2022.
Credit:bbc
 
Namwamba na munya wameshafutika kisiasa baada kuangushwa..... mutua na ruto sio wakikuyu hivyo hawaendi kokote

Kwa siasa za kenya zilivo usishangae 2020 ruto akawa timu moja na kina musyoka and family

Ruto ndo mgombea urais wa jubilee 2022
 
but i agree, there are still some idiots in our country, Kenya...for example, those who went to the streets to protest in Mathare, Kisumu and led to the deaths of 4 people now....very sad that there are still very foolish ppl in this world....but i blame Raila for those killings...saying that the election has been rigged without proper evidence is very wrong...such kind of inflammatory statements is what caused the protests and the subsequent deaths of innocent Kenyans...
 
He will become the villain soon. Hope Kenyans dont spill blood
 
Mbona Raila kajitangaza???

Na anawezaje ku access server za tume ya uchaguzi?
 
Huna unalojua, hivi hali ikiendelea kuwa mbaya kwa wananchi hiyo kodi italipwaje? Huwezi kulaza familia njaa ili ujenge kama ingelikuwa hivyo kila mtu angelikuwa na nyumba, unajenga ukiwa na uwezo wa kujenga. Mapato ya serikali yanapatikana kutokana na wananchi yaani kulipa kodi sasa kama watu wanafunga biashara hiyo pesa za kujenga hayo mabarabarani zitatoka wapi? Tumia akili ndugu.
 
Chekubeti naye anavizia kutangaza usiku nini kama yule wa mwaka 2007?
Chekubeti kazi anayo kwwa kweli.
 
there is no way out except for the loser to concede the defeat! Hiyo ndio itakuwa salama kwa wakenya wote! na pia huo ndio ukomavu wa kisiasa!
 
Mkimaliza kugombania izo kura zenu mniite mwapishaji
 
Let's respect our own institution, IEBC ndio chombo pekee kimepewa dhamana ya kutangaza matokeo sio vinginevyo,
 
Ikiwa Jubilee wali hack kunauwezekano na. Nasa nao wali hack ili kuona kama jubilee wame hack
 
Katika hali isiyo ya kawaida NASA wameitaka tume ya uchaguzi kumtangaza Odinga kuwa mshindi wa uchaguzi 2017 (BBC).

Huko Kisumu wananchi wako mabarabarani wakisherekea ushindi huo licha ya mvua kubwa inayonyesha!

My take: Kuna kila dalili za mapigano ya wao kwa wao kutokea endapo Odinga atatangazwa mshindi kwa kuwa tayari wananchi wakiaminishwa kuwa Kenyatta ameshinda!
 
Mleta mada utakuwa we ndo Bashite wa NASA, yaani hata jina la kinara wenu Raila huwezi liandika! Eti Laila, ndo maana tuliwanyima kura zetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…