Hakika kila kona ya nchi hii habari zinazobamba ni kutoka nchi jirani ya Kenya, mbali na hii mitandao ya kijamii Twitter, jf &group za whatsap zote habari kuu ni uchaguzi kenya
Hivi watanzania hatuna ya kwetu ya kuyashadadia hadi tuyashikie bango siasa za kenya?
Apite Uhuru au Raila, sie twafaidika nini?
Hebu tuwache unafiki watanzania, leo ni nane nane na kitaifa inafanyika lindi huko kwanini tusilijadili kwa upana hata hili maana linagusa wengi wa watanzania wakulima
Au ndio kusema kenya ni taifa kubwa kulikoa Tz