RAO alishinda lakini majubilee yakadukua matokeo kwa kutumia nywila ya Chris Msando. Kumbuka baada ya vibaraka wa Uhuru kumuua msando walichukua nywila zake na kuzitumia kudukua matokeo. Kama hufahamu jambo hili ni bora ukae kimya.Ameshinda una uhakika au unafuata anachokisema yeye..??
Wahangaike Weee Lakini Uhuru Ndio Rais
Kabisa raila atulie tu azeeke vizuriWahangaike Weee Lakini Uhuru Ndio Rais
Bas sawaYashafika tayari,inasubiriwa tu muda wa chinja chinje
Well said mkuuUnachoongea mkuu Zitto JR ni kitu sahihi sana. Wakenya wengi wanaongelea mambo ya kisiasa kwa mihemuko ya kikabila na siyo uhalisia. Jamaa wanaoongelea waangalizi wa kimataifa, wanashindwa kuongelea waangalizi wa ndani na mashirika ya kiraia wanaodai kuna tofauti kati ya matokeo yanayotangazwa na tume na idadi kamili walizochukua wenyewe live vituoni.
Ukweli wa mambo ni kwamba, Rutto hataungwa mkono na wakikuyu come 2022. Hao jamaa ni wabinafsi sijawahi kuona. Malalamiko haya ya figisu katika uchaguzi hayataisha Kenya kama wataendeleza tabia hii ya uharamia.
Odinga alikuwa na nafasi ya kushinda kama sio "afrika"Sitarajii Uhuru ashindwe na akishindwa nitashangaa sana.
Hiyo ni kwa sababu incumbents Afrika mara 9 kati ya 10 huwa hawashindwi.