EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Ameshinda una uhakika au unafuata anachokisema yeye..??
RAO alishinda lakini majubilee yakadukua matokeo kwa kutumia nywila ya Chris Msando. Kumbuka baada ya vibaraka wa Uhuru kumuua msando walichukua nywila zake na kuzitumia kudukua matokeo. Kama hufahamu jambo hili ni bora ukae kimya.
 
Unachoongea mkuu Zitto JR ni kitu sahihi sana. Wakenya wengi wanaongelea mambo ya kisiasa kwa mihemuko ya kikabila na siyo uhalisia. Jamaa wanaoongelea waangalizi wa kimataifa, wanashindwa kuongelea waangalizi wa ndani na mashirika ya kiraia wanaodai kuna tofauti kati ya matokeo yanayotangazwa na tume na idadi kamili walizochukua wenyewe live vituoni.

Ukweli wa mambo ni kwamba, Rutto hataungwa mkono na wakikuyu come 2022. Hao jamaa ni wabinafsi sijawahi kuona. Malalamiko haya ya figisu katika uchaguzi hayataisha Kenya kama wataendeleza tabia hii ya uharamia.
Well said mkuu
 
Haya hapa
6efd8a302ddd1a76510b97892feb8ef8.jpg
 
Ndo wapo ukumbini mkuu

back soon

Ben saa 8
&
joseverest
 
Wanatangaza matokeo sasa hivi wakati NASA wamekimbia na wamekataa matokeo
 
Sitarajii Uhuru ashindwe na akishindwa nitashangaa sana.

Hiyo ni kwa sababu incumbents Afrika mara 9 kati ya 10 huwa hawashindwi.
Odinga alikuwa na nafasi ya kushinda kama sio "afrika"
 
kura ni "haki" yako
 

Attachments

  • d8a791dd363227292d5e7e5d0038f123.jpg
    d8a791dd363227292d5e7e5d0038f123.jpg
    23.6 KB · Views: 53
  • 2a7a9313-7efc-4ad7-891a-44c98cbbf420.jpg
    2a7a9313-7efc-4ad7-891a-44c98cbbf420.jpg
    56.6 KB · Views: 63
Back
Top Bottom