EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

kwani Odinga aliamini atashinda ???😵
Sababu zilizomfanya ashindwe 2007, 2012 bado ziko palepale viz. ukabila na ndizo zimemfanya ashindwe tena 2017.

Kama aliamini atashinda, basi kauli hii inamhusu:

"Insanity is doing the same thing over and over and expecting different results" (Einstein).
 
My Congratulatory remarks be extended to You, My Brother Uhuru Kenyatta on Elected for another term of the office as the President of Kenya.
 
Reactions: PNC
Hawa n km Ndugu mkalenjin na Mkikuyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa n km Ndugu mkalenjin na Mkikuyu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu?? Mbona walichinjana 2007 hadi ruto akachinja wakikuyu kanisani ???

Ukabila kenya ni mpaka kwenye nyumba za dini hivyo usishangae jubilee wakapitisha mkikuyu na wakamchukua gideon moi kuwa mgombea mwenza kupata kura za wakalenjin ila nakuhakikishia ruto hatokuwa Rais wa kenya 2022 mark my words
 
Km iko hivoo basi acha Alishabibi Wawaonyeshe kazi Hao wakikuyu wameona nchi ni ya kwao naona hata Eneo kubwa la aridhi naona wao ndo wamekamata. .alafu hata awajui kulimaaaa. ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…