Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waaitt kidogo mkuu
We ni taahira. Kwani JPM ni mpinzani?I hope jpm is watching closely
What goes around always comes around
Sababu zilizomfanya ashindwe 2007, 2012 bado ziko palepale viz. ukabila na ndizo zimemfanya ashindwe tena 2017.kwani Odinga aliamini atashinda ???😵
My Congratulatory remarks be extended to You, My Brother Uhuru Kenyatta on Elected for another term of the office as the President of Kenya.
Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake
Kwaio itakua jambo la ajabu kujibishana na mpumbavu
Kweli umedhihirisha utaahira wako kama hata kujua kuwa we ni mpumbavu hujajua basi kweli Magu anakaziKwaio itakua jambo la ajabu kujibishana na mpumbavu
usijali..neema ya Mungu siku zote inatuongoza..Sometimes nawaonea wivu wakenya Leo Cnn, al jazeera RT, BBC zote zilikuwa live wAkenya wamepiga hatua kubwa , ....
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM ni timu Raila.Wakenya wamekataa sera za JPM,Raila alikuwa anawaambia wakenya wamchague aongoze kama JPM!Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake
[emoji23][emoji23][emoji23]UwwwiiiiiMy Congratulatory remarks be extended to You, My Brother Uhuru Kenyatta on Elected for another term of the office as the President of Kenya.
Kwani matokeo ya uchaguzi na ushindi wa JPM 2015 Tanzania hayakuonyeshwa live na hizi stations zote?Sometimes nawaonea wivu wakenya Leo Cnn, al jazeera RT, BBC zote zilikuwa live wAkenya wamepiga hatua kubwa , ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa n km Ndugu mkalenjin na MkikuyuMkuu mimi ni mtanzania ila nmeishi sana kenya hivyo najua nachosema ...... kenya ukabila una matter kuliko kitu chochote both sides na usijifanye hujui walipompa odinga uwaziri mkuu kibaki alidai atasupport transition of power kutoka kwake hadi kwa odinga tafuta ile video ya siku wakizindua katiba mpya hii ya sasa kibaki was clear kabisa kuwa anamsupport odinga kuwa next president kumbe huku nyuma tayari anamuandaa mkikuyu uhuru agombee!!!!
Narudia tena Ruto will neva be the president 2022 yye wanamtumia tu kupata kura za rift valley kwa wakalenjin hukooo ila usishangae 2022 jubilee wakampitisha mkikuyu wa huko kiambu au kirinyaga kuwa Rais wait and see time is a good judge
Ndugu?? Mbona walichinjana 2007 hadi ruto akachinja wakikuyu kanisani ???
Km iko hivoo basi acha Alishabibi Wawaonyeshe kazi Hao wakikuyu wameona nchi ni ya kwao naona hata Eneo kubwa la aridhi naona wao ndo wamekamata. .alafu hata awajui kulimaaaa. ..Ndugu?? Mbona walichinjana 2007 hadi ruto akachinja wakikuyu kanisani ???
Ukabila kenya ni mpaka kwenye nyumba za dini hivyo usishangae jubilee wakapitisha mkikuyu na wakamchukua gideon moi kuwa mgombea mwenza kupata kura za wakalenjin ila nakuhakikishia ruto hatokuwa Rais wa kenya 2022 mark my words