MGANI PATRICK
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 490
- 353
ODINGA JIFUNZE KUCHAGUA MARAFIKI. HILI NI FUNDISHO NA KWA WENGINE
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana!Odinga kajimaliza mwenyewe kwa kuukumbatia uccm
In God we trust
Kama lowasa vileHakuna cha huruma hapo ,Odinga ni kama samaki aliyejikaanga na mafuta yake mwenyewe -his tactics ,his words and his record ndio zinamuumiza mwenyewe sasa aondoke jukwaani.
Poleni nyinyi ccm maana ndiyo mlioshindwa sisi aaaaa tunakula castle lager kwa kusherehekeaPole sana!
......
Mtaweweseka sana ila ccm mmepigwa za chembe
Niko hapa westlands na niliona mmefunga vilango juzi mkikimbia kuelekea mshambaniUpo wapi? Kiambuu? Nyeri? Sema upo wapi kisha tusubiri!
Odinga kakataliwa kwa kuikubatia ccm na wana ccm
Amevuna alichopandaKosa kubwa la Odinga, ni kuambatana na mtu ambaye nyumbani kwake wanamkataa kutokana na utawala usiofuata sheria na katiba. Tokea lini dikteta akaigwa bwana Rails.?!
Hutaki kanywe sumu ila habari ndiyo hiyo odinga chaliiiiii kisa ccmni vema haya mambo ya nje tukayaacha kuyashabikia kama ufipa wanavyokesha kusubiri matokeo ya uchaguzi kenya as if mwenyekiti wao ni mgombea
Ngw'ana Kabula
Ajabu ya mwaka mpinzani kushangilia chama tawala Kenya,wakati mpinzani mwenzake analalamika kuchezewa rafu.Poleni nyinyi ccm maana ndiyo mlioshindwa sisi aaaaa tunakula castle lager kwa kusherehekea
In God we trust
Inabidi ccm wajitafakali upyaCCM bana, mna miaka 40 sasa,
ila hamjawahi kuelewa maana ya demokrasia.
Kaeni chonjo, Kenyans has decided [HASHTAG]#kenyadecides[/HASHTAG]
Inaonekana hujui nini linaendelea na hujui siasa za kenyaAjabu ya mwaka mpinzani kushangilia chama tawala Kenya,wakati mpinzani mwenzake analalamika kuchezewa rafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana hujui nini linaendelea na hujui siasa za kenyaAjabu ya mwaka mpinzani kushangilia chama tawala Kenya,wakati mpinzani mwenzake analalamika kuchezewa rafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya hawana akili kama za bavicha, hawaangali urafiki was mgombea wanaangalia utendaji wa mtuOdinga kakataliwa kwa kuikubatia ccm na wana ccm
In God we trust
Maajabu zaidi yalianzia pale Odinga akiwa Mpinzani mkuu Kenya alipoamua 2015 Kutowaunga Mkono wapinzani UKAWA badala yake akaunga Mkono CCM chama tawala kwa sababu Magu ni rafiki yake.Au hayo sio maajabu kwako boss?Ajabu ya mwaka mpinzani kushangilia chama tawala Kenya,wakati mpinzani mwenzake analalamika kuchezewa rafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sanaWakenya hawana akili kama za bavicha, hawaangali urafiki was mgombea wanaangalia utendaji wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
We unajua ni mkenya?Inaonekana hujui nini linaendelea na hujui siasa za kenya
In God we trust
Tumewakataa maccm
Uliwahi kumuona Odinga kapanda kwenye jukwaa LA kampeini za ccm, bavicha bwana mmechanganyikiwa kam lowasaMaajabu zaidi yalianzia pale Odinga akiwa Mpinzani mkuu Kenya alipoamua 2015 Kutowaunga Mkono wapinzani UKAWA badala yake akaunga Mkono CCM chama tawala kwa sababu Magu ni rafiki yake.Au hayo sio maajabu kwako boss?