Uhuru Kenyatta anaongoza kwa wingi wa kura-----amepatata kura hata kule hatungetarajia,,Kisii,,amefieka
umasaini kwote,,Governor Ole Lenku na Governor wa Narok,,,amepata kura 34,000 luo nyanza na 6,000 Kisumu town, governor sasa ni wa jubilee huko,,kwale, amefieka wasomali wote,Ngome iliokua ya uppinzani,,, governor sasa wa Nairobi ni Jubilee,the new kid on the block, mike Sonko, Iron lady Laboso,
Bomet, Iron lady, the beautiful one,, Ann,,kirinyaga, Mzee,,,the Mbass,,Kiraitu Murungi, Meru,,,Baba yao,,
Fedinarnd Waitititu, Kiambu,,what else do we need but to thank you,,lord,,where ever you are,,in heaven,,mars,,Jupiter,,
it does not matter,,but let me,,just,, thank you,, my lord.
Ohh lord,,,refrain this Raila thing,,, from plunging this country into chaos, refrain him and show him
that the world is not him.
Raila Odinga asijaribu kuchochea wanainchi. Huyu bwana hudanganya ulimwengu ati yeye ni mwana demokrasia lakini ukweli ni kinyume.
Huyu ni dikteta wa hali ya juu na mtu ambaye hua afikirii wengine bali yeye mwenyewe.
Mara hii hana bahati kwani akajaribu chochote,,,basi atakabiliana na yale hajawahi yaona
maishani mwake.