EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

Mkoko umealika maua

Nitaenda kuvuta unyunyu kidogo na kurejea

Usibonyeze kidude
 
Mkuu nchi haitakaa iende mikononi mwa upinzani dhaifu wa Tanzania, kwa Kenya hata Raila akishinda wamejijenga kwa ajili ya kuchukua dola si hawa wa kwetu. Wala usiumie nchi iko salama na itaendelea kuwa salama. Watu viongozi wenggi wa upinzani ni wadaiwa wa serikali hiii walikwapua mali kwa njia ya ubinafsisshaji wakaahidi ;
  • watleta teknolojia mya kwenye viwanda
  • wataongeza ajira
  • watapanua upatikanaji wa kodi kwa serikali
  • watasaidia kiunua pato la taifa
matokeo yake wakachukua HATI za viwanda wakaenda kukopa nje ya nchi, halafu leo wanatumia mikopo hiyo kuimalisha vyama badala ya kuwekeza. KESI ZA UHUJUMU UCHUMI ZINAWASUBIRI HATUWEZI KUENDEKEZA UJINGA. NDIYO MAANA WANASALI KUTWA KUCHA MAGUFULI ASIFAULU SERA ZAKE.
NCHI IKO MIKONNONI SALAMA USIHOFU

hapo mwisho sijakupata vizuri mkuu, unanisisitizia kua nisihofu nchi ipo katika mikono salama...

una maanisha nini hasahasa, mikono salama in which aspects, kisiasa, kiuchumi, kisayansi au kijamii? wanadai kua usalama wa nchi na wa taifa kwanza kabisa ni usalama wa chakula then mambo mengine badae.... je nchi ipo salama katika upande wa chakula? maghala ya serikali yana chakula cha kutosha? bei za vyakula zipoje mtaani?
nchi ipo katika mikono salama.... vipi serikali ina ajiri? inapandisha madaraja ya mishahara kwa watumishi? sekta binafsi na kilimo mambo yapoje?
unajua maelezo yako yapo too general mkuu.....
hivi wewe huko ulipo if and only if ndani ya mipaka ya Tanzania huvisikii kabisa vilio vya watu kua pesa imepotea mtaani na maisha yamezidi kua magumu na mabenki yameamua kuwakopesha waajiriwa tu kwakua ndio uhakika wa kurudisha mikopo wanao tofauti na wajasiriamali?

mkuu bado nasisitiza sote hatujawa wakweli kwa nchi yetu bado unafiki unatutafuna mpaka tutubu.... ccm iliuza madini yetu leo ccm hiyohiyo ndio inajifanya iliibiwa.. thats bulshit. upinzani nao hawaeleweki unakutuna na watu kama akina le pro pesa lipumba, na zitto kabwe, na mbowe ambae alisema ove his dead body hawezi mpokea fisadi lowasa.

thats very sad kwakua watanzania hawana watetezi wakweli na wenye dhamira za dhati toka mioyoni mwao
 
hapo mwisho sijakupata vizuri mkuu, unanisisitizia kua nisihofu nchi ipo katika mikono salama...

una maanisha nini hasahasa, mikono salama in which aspects, kisiasa, kiuchumi, kisayansi au kijamii? wanadai kua usalama wa nchi na wa taifa kwanza kabisa ni usalama wa chakula then mambo mengine badae.... je nchi ipo salama katika upande wa chakula? maghala ya serikali yana chakula cha kutosha? bei za vyakula zipoje mtaani?
nchi ipo katika mikono salama.... vipi serikali ina ajiri? inapandisha madaraja ya mishahara kwa watumishi? sekta binafsi na kilimo mambo yapoje?
unajua maelezo yako yapo too general mkuu.....
hivi wewe huko ulipo if and only if ndani ya mipaka ya Tanzania huvisikii kabisa vilio vya watu kua pesa imepotea mtaani na maisha yamezidi kua magumu na mabenki yameamua kuwakopesha waajiriwa tu kwakua ndio uhakika wa kurudisha mikopo wanao tofauti na wajasiriamali?

mkuu bado nasisitiza sote hatujawa wakweli kwa nchi yetu bado unafiki unatutafuna mpaka tutubu.... ccm iliuza madini yetu leo ccm hiyohiyo ndio inajifanya iliibiwa.. thats bulshit. upinzani nao hawaeleweki unakutuna na watu kama akina le pro pesa lipumba, na zitto kabwe, na mbowe ambae alisema ove his dead body hawezi mpokea fisadi lowasa.

thats very sad kwakua watanzania hawana watetezi wakweli na wenye dhamira za dhati toka mioyoni mwao

Mkuu nchi iko salama katika nyanja zote;
  • Mavuno ni ya kutosha kwa mazao ya chakula, hakuna mtanzania atakufa njaa taarifa za jana toka statistical bureau zina sema mfumuko wa bei umeshuka wa Tanzania ni bora kabisa kwa ktk ukanda wa EAC. uko 5% as compared to KENYA 7% rwanda 6% etc etc
  • Ukiongea na wachumi wabobezi watakuambia serikali huwa inatumia pesa zake katika nyanja hizi; matumizi mengi yanapofanywa kwenye recurrent mzunguko wa pesa huongezeka na maisha kuwa rais, rejea awamu ya nne. Kwa upande mwingine serikali inapoamua kutumia zaidi ktk capital expenditure, maana yake ni serikali kuwekeza katika miundo mbinu, kama reli, barabara, bomba la mafuta ghafi HOIMA-CHONGOLEANI, Hudma za afya kama ujenzi wa zahanati, umwagiliaji kwa kujenga irrigation schemes, miundo mbinu ya umeme kama REA, ujenzi wa viwanja vya ndege na mengine mengi. HAPA WACHUMI WETU HAWAELIMISHI WANANCHI KWAMBA SERIKALI YA WAWAMU YA TANO IMEAMUA KUWEKEZA KWA KUFANYA CAPITAL EXPENDITURE KWA MAANA HIYO UWEKEZAJI HUU UNA TABIA YA KUPUNGUZA PURCHASING POWER LAKINI KUNA LONG TERM BENEFITS PALE MIUNDO MBINU HII ITAKAPOANZA KUTOA MATUNDA. IT IS LONG TERM INVESTMENT. NI SAWA NYUMBANI KWAKO UKIZOEA KUPOKEA MSHAHARA NA KUTUMIA KWA CHAKULA, NGUO NA VIPODOZI, SIKU UKIAMUA KUANZA UJENZI WA NYUMBA WATOTO WATAKOSA MAYAI NA JUICE PIA MAMA VIPODOZI HATAVIONA NA KUMBUKA UJENZI NI KATI YA MIAKA 3 HADI TANO SO TEGEMEA UKATA KWA KIPINDI HICHO. THE SAME NA JPM TUTAMCHUKIA LAKINI BAADA YA MIAKA KUANZIA TANO NA KUENDELEA TUTASHUHUDIA TAMBARARE
  • Ulinzi wa mipaka na mali za wananchi.
 
Scanned copy ya matokeo ndio inayochakachuliwa wakati wa kutransmit! Hivyo kuhakiki scanned copy sio suluhu! Watumie original forms kutoka kwenye vituo vya kupigia kura! Ikiwa Odinga ni mwongo achukuliwe hatua kali za kisheria kwa uchochezi!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Hamna namna ni retire tu! Hivyo vita hataviweza! 2022 inangojwa na vijana hataree! Peter Munya, gavana wa Meru, Alfred Mutua, gavana wa Machakos, Ababu Namwamba, mbunge wa Budalangi. Bila kumsahau Bamdogo mwenyewe William Samoei Kipchirchir Arap Ruto!
Namwamba na munya wameshafutika kisiasa baada kuangushwa..... mutua na ruto sio wakikuyu hivyo hawaendi kokote

Kwa siasa za kenya zilivo usishangae 2020 ruto akawa timu moja na kina musyoka and family
 
Namwamba na munya wameshafutika kisiasa baada kuangushwa..... mutua na ruto sio wakikuyu hivyo hawaendi kokote

Kwa siasa za kenya zilivo usishangae 2020 ruto akawa timu moja na kina musyoka and family
Oya acha kufatafata comment zangu za zamani afu unaanza kunikosoa! Hujui uzi huu ulianzishwa hata kabla ya kura zote kupigwa? Nilimtaja Munya kama mfano ningejuaje atashindwa! Kama imekuuma kamwalike Raila aje kwako Kolomije. Aah we jamaa behave, unashukshia bana!
 
Mkuu nchi iko salama katika nyanja zote;
  • Mavuno ni ya kutosha kwa mazao ya chakula, hakuna mtanzania atakufa njaa taarifa za jana toka statistical bureau zina sema mfumuko wa bei umeshuka wa Tanzania ni bora kabisa kwa ktk ukanda wa EAC. uko 5% as compared to KENYA 7% rwanda 6% etc etc
  • Ukiongea na wachumi wabobezi watakuambia serikali huwa inatumia pesa zake katika nyanja hizi; matumizi mengi yanapofanywa kwenye recurrent mzunguko wa pesa huongezeka na maisha kuwa rais, rejea awamu ya nne. Kwa upande mwingine serikali inapoamua kutumia zaidi ktk capital expenditure, maana yake ni serikali kuwekeza katika miundo mbinu, kama reli, barabara, bomba la mafuta ghafi HOIMA-CHONGOLEANI, Hudma za afya kama ujenzi wa zahanati, umwagiliaji kwa kujenga irrigation schemes, miundo mbinu ya umeme kama REA, ujenzi wa viwanja vya ndege na mengine mengi. HAPA WACHUMI WETU HAWAELIMISHI WANANCHI KWAMBA SERIKALI YA WAWAMU YA TANO IMEAMUA KUWEKEZA KWA KUFANYA CAPITAL EXPENDITURE KWA MAANA HIYO UWEKEZAJI HUU UNA TABIA YA KUPUNGUZA PURCHASING POWER LAKINI KUNA LONG TERM BENEFITS PALE MIUNDO MBINU HII ITAKAPOANZA KUTOA MATUNDA. IT IS LONG TERM INVESTMENT. NI SAWA NYUMBANI KWAKO UKIZOEA KUPOKEA MSHAHARA NA KUTUMIA KWA CHAKULA, NGUO NA VIPODOZI, SIKU UKIAMUA KUANZA UJENZI WA NYUMBA WATOTO WATAKOSA MAYAI NA JUICE PIA MAMA VIPODOZI HATAVIONA NA KUMBUKA UJENZI NI KATI YA MIAKA 3 HADI TANO SO TEGEMEA UKATA KWA KIPINDI HICHO. THE SAME NA JPM TUTAMCHUKIA LAKINI BAADA YA MIAKA KUANZIA TANO NA KUENDELEA TUTASHUHUDIA TAMBARARE
  • Ulinzi wa mipaka na mali za wananchi.

nakupata mkuu ila bado kuna ukakasi kidogo.... labda kidogo nijitambulishe kwako mimi ni mkulima kwa kupitia kampuni yetu, kwahiyo kuhusu changamoto za kilimo cha hasa mazao ya biashara ninakutana nazo kila siku.. kuanzia mazingira magumu ya kupata mikopo ya pembejeo na ma benk kutokutoa ushirikiano wa kutosha kwa wakulima au watu wenye kutaka kufanya miradi ya kilimo,

well and good, mnapoongelea kua Tanzania ya viwanda na serikali ina jenga miundo mbinu thats why imechukua pesa zote kutoka vyanzo vyote na kuziweka hazina kisha kuzifanyia maamuzi na hivyo basi tuwe wapole na tukubali kupata shida na kufunga biashara zetu mpaka serikali itakapomaliza mambo hayo amabayo umesema ni ndani ya miaka2 au 3, swali langu la msingi ni kwamba je hayo ni matakwa na utashi wa rais na team yako au ndio vipau mbele na mahitaji ya wananchi wengi kwa sasa? je kuna utafiti wowote uliofanyika na kuwauliza wa tz kati ya chakula, ajira, madawa hospitalini, wana chuo kupatiwa mikopo, waajiriwa kupandishwa madaraja nakupatiwa stahiki zao, wastaafu kulipwa mafao yao bila figisu figisu au serikali ikomalie miundo mbinu na sera yake ya viwanda huku watu wakilia njaa?
let us be honest to our country.... this is one man show.... bunge lishakua kichekesho hawana meno tena maagizo kutoka juu yanatekelezeka ndani ya bunge..... mahakama yenyewe mpaka leo haina jaji mkuu... wewe unafikiri ni bahati mbaya au ni mpango mahususi wa kuvidhoofisha na kuipa nguvu executive?
mkuu watanzania hawahitaji tena maneno maneno ya faraja na uzandiki wa kujifanya wanyonge na masikini watakua na maisha bora wakati hali inazidi kua mbaya....
mwisho kabisa hakuna nchi au mtu yoyote anaendelea kimaisha ambae ana matumizi makubwa kuliko mapato yake...... tazama bajeti ya nchi ilivyo then angalia vyanzo vya mapato halafu fanya mahesabu ya kujumlisha na kutoa hapo utaona bila nguvu ya mzungu hayo mambo na mipango ya ujenzi wa viwanda na miundo mbinu havitawezekana kamwe.
 
Uhuru Kenyatta anaongoza kwa wingi wa kura-----amepatata kura hata kule hatungetarajia,,Kisii,,amefieka
umasaini kwote,,Governor Ole Lenku na Governor wa Narok,,,amepata kura 34,000 luo nyanza na 6,000 Kisumu town, governor sasa ni wa jubilee huko,,kwale, amefieka wasomali wote,Ngome iliokua ya uppinzani,,, governor sasa wa Nairobi ni Jubilee,the new kid on the block, mike Sonko, Iron lady Laboso,
Bomet, Iron lady, the beautiful one,, Ann,,kirinyaga
, Mzee,,,the Mbass,,Kiraitu Murungi, Meru,,,Baba yao,,
Fedinarnd Waitititu, Kiambu
,,what else do we need but to thank you,,lord,,where ever you are,,in heaven,,mars,,Jupiter,,
it does not matter,,but let me,,just,, thank you,, my lord.

Ohh lord,,,refrain this Raila thing,,, from plunging this country into chaos, refrain him and show him
that the world is not him.

Raila Odinga asijaribu kuchochea wanainchi. Huyu bwana hudanganya ulimwengu ati yeye ni mwana demokrasia lakini ukweli ni kinyume.

Huyu ni dikteta wa hali ya juu na mtu ambaye hua afikirii wengine bali yeye mwenyewe.

Mara hii hana bahati kwani akajaribu chochote,,,basi atakabiliana na yale hajawahi yaona
maishani mwake.
Raila akishinda ndio atanifanya nguli ya siasa...Jimmy Wanjigi kamkalia kooni kwamba asikumbali ameshindwa mpaka aidha waede mahakamani au nusu mkate....team inayomsapoti Raila wamewekeza pesa nyingi sana kwao kushindwa hawakumbali ndio maana hizi chokochoko zao hazitaisha hivi hivi
 
Nimeona kwenye Tv kuwa kuna mwanahabari ameshinda U-mp wa nyali huko kenya anakwenda kwa jina la mohamed ali, nilitaka kujua kama ni yule wa jicho pevu maana nilisikia alibwagwa kwenye kura za maoni za nasa, sasa aligombea vipi tena, au alikuwa independent? Mwenye taarifa zake naomba kujuzwa.
Yes Mohamed Ali wa Jicho Pevu.Alishindwa kura za maoni ODM ya Odinga, akagombea kama mgombea huru.
 
tatizo la chadema na ukawa ni visasi tu hawana mapenzi yoyote kwa uhuru, roho inawauma kwakua Odinga na magufuli wana urafiki wa muda mrefu sasa wanaumia na kuona kama marafiki hawa wakiwa marais wa nchi hizi mbili na wakitumia urafiki wao kuna uwezekano mkubwa serikali zao na watu wao wakapiga hatua na hilo kwao ni kosa kwakua hawatakua na cha kuwashawishi watanzania wawachague... tatizo kubwa la upinzani wa nchi yetu ni unafiki uliotukuka, mtazameni mange kimambi huko kwenye ukurasa wake yeye ana jihidhirisha kabisaaaa kua anataka odinga ashindwe ili magufuli aumie, amesahau kua hata yeye alikua uvccm na aliwahi hadi kugombea nyazifa mbalimbali ndani ya chama hicho...nasisitiza nchi yetu haitoendelea na kua salama mpaka tutubu na kuziacha kabisa hizi tabia za unafiki.

i declare interest sina chama na sijawahi kua mwana chama wa chama chochote cha siasa na sina mpango huo nitabaki kua mpiga kura huria mtazama sera, weledi na dhamira za kweli kutoka kwa wagombea.
Rais wetu afanye kazi na rais atakayechaguliwa na wakenya. Kuwa rafiki na mgombea pinzani aliyeshindwa isiwe tiketi ya kutokufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi ya wananchi wa nchi hizo mbili. Period
 
Kupitia hizo form za 34A na 34B kazi ya masaa mawili inachukua siku mbili?
 
Mkuu nchi haitakaa iende mikononi mwa upinzani dhaifu wa Tanzania, kwa Kenya hata Raila akishinda wamejijenga kwa ajili ya kuchukua dola si hawa wa kwetu. Wala usiumie nchi iko salama na itaendelea kuwa salama. Watu viongozi wenggi wa upinzani ni wadaiwa wa serikali hiii walikwapua mali kwa njia ya ubinafsisshaji wakaahidi ;
  • watleta teknolojia mya kwenye viwanda
  • wataongeza ajira
  • watapanua upatikanaji wa kodi kwa serikali
  • watasaidia kiunua pato la taifa
matokeo yake wakachukua HATI za viwanda wakaenda kukopa nje ya nchi, halafu leo wanatumia mikopo hiyo kuimalisha vyama badala ya kuwekeza. KESI ZA UHUJUMU UCHUMI ZINAWASUBIRI HATUWEZI KUENDEKEZA UJINGA. NDIYO MAANA WANASALI KUTWA KUCHA MAGUFULI ASIFAULU SERA ZAKE.
NCHI IKO MIKONNONI SALAMA USIHOFU
Tumia mifano tuwajue
 
Ndio huyo huyo wa jicho pevu na aligombeaa kama mgombeaa huru maana kwenye chama walimtosa ,,akaamuaa kugombeaa kama mgombeaa huru na kashindaa,,jamaa kapgana sanaa alijitoaa maisha yake

shushushu VIP

Off Topic
Ikiwa huo mkia kwenye Avater ni wa kwako ni-PM tafadhali nina dili lako mkononi.
 
Back
Top Bottom