Bado sana kijana maliza shule kwanza, hauna uwezo wa kutosha mpo after money tu lakini sio kikazi kama inavyo takiwa
Tuisheni fii tu
Ndio mdanganye watu na ramani zenye makosa kibao, ni vizuri ukaangalia namna nyingine ya kupata hii fee. Angalia usije ukaishia jela!!
3 bdrms
Garage inside
But badala ya garage,iwe parking!
Paaa km hii
Wow:thumbup:
Iko muzuri eeh
Kaka, hivi msingi wa ghorofa unakula milioni ngapi kwa kukadilia. ...ntapata ramani nzuri ya ghorofa isiyo na mbwembwe nyingi lkn ya kijanja?
Kaka, hivi msingi wa ghorofa unakula milioni ngapi kwa kukadilia. ...ntapata ramani nzuri ya ghorofa isiyo na mbwembwe nyingi lkn ya kijanja?