Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Kimefika kunako kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimefika kunako kweli?
Haha Mkuu una utani wa ngumi na Vitambi fc.Hao ndo watoto wa laliga ,dera jipya chupi la zamani
Hatukutumia nguvu MkuuKuna tatizo kubwa zaidi ya nidhaniavyo kama haya ndio mawazo yenu.
Bao tatu wanabahatishaje?
Haha Mkuu una utani wa ngumi na Vitambi fc.
KMC wamewapunguza kilo tatu tatu walizoongezeka kipindi cha Sosho Distensi.🐸🐸Utopolo bado sana kwenye pitch, labda watakapotua Misri na Egypt.
D😀: Nugaz
Kweli Mkuu wamemnunua Metacha Mnata aachie magoli, daah inauma sanaTatizo simba wananunua hadi mechi za kirafiki
Labda ubingwa wa la liga!Siyo tatizo Mkuu sisi tunataka ubingwa wa ligi kuu tuwakilishe nchi kimataifa.
Daima mbele
Yani wamewaachia kmc kwa kuwa hawapendi shoo ofu si ndio!Yanga kama king Kiba tu, hawataki sifa kabisa.
semper fidelis
Inapendeza kuwa na matumaini.Mkuu hii mechi hatukutumia nguvu nakuhakikishia ubingwa tunachukua, siyo Simba wala Azam wakutuzuia sisi kwenye ligi kuu.
Daima mbele
Ila tumeupiga mwingi sana KMC wamebahatisha tu, ligi ikirudi tunahakikisha tunabeba ubingwa hakuna wakutuzuia.
Daima mbele