Exclusive: Zilizonifikia hivi punde tu kutoka Kambini Yanga SC

Balance story. Lete upande wa pili. Mganga wao wa Unguja kasema nini?
Only in Tanzania!
 
Hakika ulinena
 
Naiomba serikali iangalie upya swala la viroba maana hii akili sio ya kawaida lazima inachembe ya kiroba
Huwezi kushindana na raia wa nchi hii siku hizi wanapiga kitochi, baada ya saa moja anakwenda dukani nusu glass anaendelea na shughuli zake nyie bakieni na viroba [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…