Naamini u MzimaSijambo hiyo veep hata kuniuliza naendeleaje woii
Ngoja nimfikishe huyu abiria fasta nami nije kuwa msomajiHapana aisee acha wengine tuwe wasomaji
Ngoja nimfikishe huyu abiria fasta nami nije kuwa msomaji
Siku hizi umenitenga, mi namuachia Mungu.Naamini u Mzima
Bora umsaidie mkuu. Mana ametamani kuhojiwa ila hajapata wa kumuhoji mpaka anajihoji mwenyewe.
Kwa nini Umesema hivyo jamanii... Mie naanzaje kukutenga kwa mfano!!!!Siku hizi umenitenga, mi namuachia Mungu.
Ndio nashangaa sasa. Nimefadhaika na kusikitika sana sana sana....Kwa nini Umesema hivyo jamanii... Mie naanzaje kukutenga kwa mfano!!!!
Babu jamanii, si ni juzi tuu tulikuwa twasali kwenye uzi wa Mshana!!!!Ndio nashangaa sasa. Nimefadhaika na kusikitika sana sana sana....
Naumwa mieNaamini u Mzima
Ewaaaaa babu ukuje wote tuwe wasomajiNgoja nimfikishe huyu abiria fasta nami nije kuwa msomaji