Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli. Kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa milele. Inategemea na upepo unavumajeIn politics, once a traitor .....he won't change, the system should keep on grinding him
Ww ni mpumbavu Sana kwani Warundi mnawaona siyo watuHuyu Bashiru Ally, Mrundi aliyeletwa kwenye CCM na Ikulu na marehemu mrundi mwenzie? HAPANA, ukurasa wake umekwisha na 2025 ndiyo mwisho wake na ubunge wa viti maalum
Siyo kigumu ila jamaa ni kanjanja. Asikutishe tunamjua siku nyingi ni mtu wa aina gani.Kiingereza kigumu aisee ngoja nirudie tena
Who is traitor between Bashiru and Kinana?
Also Mr Iluganyuma Leader of the TISS filed a formal complaint against bashiru, who will now be investigated by a by CCM , TISS and Parliamentary committee for tempering with the breach of Tanzanian Constitution .
Kama na wewe ni mrundi ongeza jina lako kwenye orodha ya akina Bashiru. Hatutaki damu hii tena kwenye uongozi w Nchi yetu. Nyie ni wamwaga damuWw ni mpumbavu Sana kwani Warundi mnawaona siyo watu
Looks like a day dream!!!In the Cabinet Bashiru says “I felt … very compelled to ensure that other survivors who do get the courage to report their assault to have that process done with respect and dignity,” he said...
Ni watu ila sio Watanzania.Ww ni mpumbavu Sana kwani Warundi mnawaona siyo watu
Between bashiru and the Nape team , who is a traitor?In politics, once a traitor .....he won't change, the system should keep on grinding him
Bashiru ni traitor, masalia ya magufuli, tupilia mbali kabisa ptuuuuu,,,Who is traitor between Bashiru and Kinana?
Wakagombee kwao kwani Tanzania wanataka nn? Wakiomba hifadhi ndo waingize mwili mzima! Ukiomba hifadhi unajibanza tu kiana, wao ndo wanataka kuchukua na mji wa watu kabisa!!Ww ni mpumbavu Sana kwani Warundi mnawaona siyo watu
Hero mavi.Bashiru is not a traitor. He's patriotic to his nation! Once a patriotic always a patriotic!
Whether he'll gain a higher political position or not, he is among our heroes!
Harakati za kuifanya Tanzania iwe ya viwanda ?ukiangalia harakati za Bashiru na Magufuli unapata mashaka kama hawa watu ni watanzania. hii michakato huwa tunaisikia Burundi na Rwanda
Siku akiwa rais wako ujiue kabisa.Bashiru ni traitor, masalia ya magufuli, tupilia mbali kabisa ptuuuuu,,,
CCM wasije kujaribu kuleta tena mtu kama huyu kwenye uongozi, ni haifai,
Kwanza traitor anayevunja mpaka katiba ili wachukue tu uongozi? Sijui walìtaka nani awe Rais wa Tanzania,
Mama Samia asifanye hilo kosa kumrüdisha, hakuna rangì ataacha ona!