Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Ni nzuri kabisa Mungu ni mwema ninamshukuruPoa kabisa habari ya mchana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri kabisa Mungu ni mwema ninamshukuruPoa kabisa habari ya mchana.
Unamtaka nani tumuite ?? Sema tukusaidie tukupigie debe
HahahahaUnamtaka nani tumuite ?? Sema tukusaidie tukupigie debe
Mkuu wewe ni mchawi😂😂😂 Haya mfuate PM kashaifungua
Sema usiogope semaHahahaha
Hunaga mambo mengi mtoto wa watu...
Nenda PM mtoto kashakupa mwanya huo au domo zito 😂Mkuu wewe ni mchawi
😂😂Nenda PM mtoto kashakupa mwanya huo au domo zito 😂
Funguka bhana usijibaneHahahaha
Nimeamini sasa uchawi upo.Nenda PM mtoto kashakupa mwanya huo au domo zito 😂
Ingia PM wewe umeshapewa chance unaichezeaNimeamini sasa uchawi upo.
Mambo mazuri hayahitaji haraka , kula mtori nyama zipo chini.Funguka bhana usijibane
Kwanini mkuuMie huku ni meweka x
😂😂😂 Hatari 🔥Pia ana Uno ndembendembe🔥
Hawapo serious wengiKwanini mkuu