Experience yangu JF miaka 10 iliyopita

umepima afya? like H I V ?



JESUS IS LORD
 
Haya njoo kwangu sasa. Uzuri mimi sinawahi kupanda hata ndege! Achilia mbali kwenda tu hata hapo Burundi, sijawahi.

Ila ni handsome, mcheshi sana, lafudhi ni ya Kisambaa! Full mkulima. Yaani ukija kunitembelea huku milimani, utakula na kunywa vitu natural tu. Hakuna Mabaga Fresh huku!!

Kama vipi, karibu PM kwa mara nyingine tena. 😇
 
Hii thread inaeleza mengi sana.
 
Huyu wa Mwanza au mwingine? Kweli km hali ndio hii mkishika mimba baada ya kuzaa mrudi shule tu
 
Kwa nn unachanganya lugha... Kwa nini usiteme yai moja kwa moja tukuone mwamba
 
Ukweli mchungu ambao hatausema mtu yoyote isipokuwa mimi ni kwamba JF imejaa Mapaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…