Expiration date za bidhaa

Expiration date za bidhaa

Use by date, Expire date ni tarehe ambazo zinamlinda mwenye bidhaa asije akashtakiwa kama mtu akidhurika

Lakini hata wewe unaweza kutumia akili tu
Unaweza kuta maziwa bado yana mda wake lakini yameharibika kisa labda yaliwekwa kwenye joto jingi au yamechanganywa na maziwa ya zamani

Sasa hapo ukiangalia tu tarehe itakula kwako.

Lingine unaweza kukuta cheese ina Expire date
Wakati cheese ni ikizidi kukaa ndio inazidi kuwa bora zaidi
Yaani kila inapooza ama?
Well said mkuu shukrani kwani logical answer
 
Bidhaa nyingi au madawa yanawekewa expiry date kwa tahadhari lakini vyaweza kutumia hata miezi sita au zaidi baada ya expiry date ikiwa havija funguliwa au kukutana na hewa.
Lakini vitu kama maziwa na mikate fuatilia sana hiyo tarehe
 
Bidhaa nyingi au madawa yanawekewa expiry date kwa tahadhari lakini vyaweza kutumia hata miezi sita au zaidi baada ya expiry date ikiwa havija funguliwa au kukutana na hewa.
Lakini vitu kama maziwa na mikate fuatilia sana hiyo tarehe
Kabisa ni muhimu na lazima
 
Niliwahi kununua soda ya kopo nikapanda daladala, nikawa napiga mdogomdogo, naelekea kuimaliza kucheki kwenye kopo, tarehe ya kuexpire ni miezi miwili nyuma! Nilishtuka kinoma sikupata madhara makubwa zaidi ya kuhisi kurudisha chenj...
Hisia tu ila usingesoma pengine usingehisi chochote, Tanzania watu wanakula sana bidhaa zilizoexpire hasa hizi za kutengenezwa majumbani halafu zinawekwa tu vilebo, huwa wanafanyaga tu kukadiria, utaskia hiyo design kabla hujaituma hapo kwenye expire date naomba badilisha iweke tu 2030(hii 2030 si halisi ila nimeiweka kuonesha kwamba huwa hata wao wenyewe hawana uhakika na exactly expire date ila wanakadiria mbali kwasababu hawataki kutengeneza tena design ya lebo zao mara kwa mara)
 
Hisia tu ila usingesoma pengine usingehisi chochote, Tanzania watu wanakula sana bidhaa zilizoexpire hasa hizi za kutengenezwa majumbani halafu zinawekwa tu vilebo, huwa wanafanyaga tu kukadiria, utaskia hiyo design kabla hujaituma hapo kwenye expire date naomba badilisha iweke tu 2030(hii 2030 si halisi ila nimeiweka kuonesha kwamba huwa hata wao wenyewe hawana uhakika na exactly expire date ila wanakadiria mbali kwasababu hawataki kutengeneza tena design ya lebo zao mara kwa mara)
Duh TMDA,TBS, na TFDA wapo tu
 
Uzi huu mzuri sanaaa! Ni muhimu kusoma maelekezo yaliyopo kwenye package kabla ya kuanza kutumia bidhaa hiyo. Watanzania tulio wengi tumezoea kutumia vitu hovyo hovyo pasina utaratibu unaoeleweka duniani. Wazungu hufuatilia bidhaa husika na pengine kujua hadi chanzo cha malighafi za bidhaa hiyo zinatoka wapi?
Umuhimu wake ni mkubwa sanaa, kwani ikiwa utakula na kikakupa faida itakusaidia kufuatilia zaidi na pengine kuwashauri wengine watumie na hata kupata fursa ya biashara. Aidha, endapo ukatumia na kudhurika hautaishia tuu kujitibia lakini pia unaweza kuwashtaki wahusika.
Aliyesababisha kwenye mabango ya vilevi kuwe na ule ujumbe wa onyo ni mvutaji wa sigara aliyekuja kugundulika ana kansa ya mapafu na ndipo alipoishtaki kampuni hiyo ya sigara alizokuwa akivuta na alilipwa fidia ya fedha na si mapafu. Ndipo ikawa somo kwa kampuni zote duniani kuweka ujumbe huo kwa bidhaa hatarishi.
Kazi njema.
Wakuu niaje.

Umewahi kutumia kitu, baada ya kukitumia ukagundua kimeexpire.
  • Ulitumia kitu gani?
  • Ulichukua hatua gani baada kujua?
  • Nini kilifanya mpaka ikawa hivyo? Ulijisahau! au ilikuaje.
 
Niliwahi kununua soda ya kopo nikapanda daladala, nikawa napiga mdogomdogo, naelekea kuimaliza kucheki kwenye kopo, tarehe ya kuexpire ni miezi miwili nyuma! Nilishtuka kinoma sikupata madhara makubwa zaidi ya kuhisi kurudisha chenj...
Hisia ndio zilizokutesa sio soda

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kuna taarifa nimeiona jana tu dogo anaomba msaada wa matibabu baada ya kuwa albino kisa alitumia antibiotics zilizokwisa muda wa matumizi.
Aisee umenikumbusha kitu mkuu kuna mmaza mmoja amebabuka kawa kama aliungua na moto muda mwingi anajitibu na asali madawa ya kienyeji sababu alitumia vipodozi vya insta aka mwajuma ndala ndefu skincare products
 
Kinywaji cha Baltika, ikifika July, 2025. Zitakuwa zime expire zote nchini!

Ila zitakuwemo madukani na bar nchi nzima zikiuzwa!
 
Kinywaji cha Baltika, ikifika July, 2025. Zitakuwa zime expire zote nchini!

Ila zitakuwemo madukani na bar nchi nzima zikiuzwa!
 
Back
Top Bottom