Wadau
Mbarikiwe nyote siku ya leo takafifu.
Nina mipango ya ku Export bidhaa kutoka Dar kwenda Nairobi. Bidhaa zenyewe ni Finished Goods.
Naomba mwenye kujua taratibu za kufanya Export na kodi zinazohusika katika mchakato mzima.
Nitashukuru sana kupata miongozo yenu.
Mbarikiwe nyote siku ya leo takafifu.
Nina mipango ya ku Export bidhaa kutoka Dar kwenda Nairobi. Bidhaa zenyewe ni Finished Goods.
Naomba mwenye kujua taratibu za kufanya Export na kodi zinazohusika katika mchakato mzima.
Nitashukuru sana kupata miongozo yenu.