Mpatie links ya vifo tatu ulivio kua unasema,mengine ni porojo......kazi yako nikuropokwa bila evidence maneno ambayo sio ya kweli
Umekua mpiga ramli sio?, kwamba ndege hazitienda South Afrika hadi walipe deni. Nikuulize swali, hivi deni la bilioni 10 za kitanzania ndio linaweza kusitisha safari za ndege zenye kutengeneza faida ya hiyo bilioni 10 kwa miezi mitatu tu ya hiyo route?.
Kuhusu kwenda DRC, nani amekuambia watu hawaendi huko, lakini ni muhimu nchi kutoa tahadhari kwa raia wake, kama ambavyo nimempa tahadhari huyo muuliza swali, kwamba kama ataamua kwenda basi ajue kuna hilo tatizo na achukue tahadhari.
Nani asiyejua kwamba kuna UKIMWI na tahadhari zinatolewa lakini bado kuna watu vichwangumu kama wewe wanaendelea kutiana bila kondomu?, lakini hiyo haina maana kwamba watu wasipewe tahadhari eti sio watu wote wenye UKIMWI.
Kitu ninachokiona hapa ni kwamba uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo sana, Mimi niliposema ninawajua watu watatu waliouliwa Kenya kwasababu ya kudai pesa zao, sikusema waliuliwa wote siku moja, tena wakati huo huo, kama ingetokea hivyo, tena sehemu za mijini ambako kuna vyombo vya habari ndio ungeuliza kuhusu links, kama ni tukio moja moja tena linatokea vijijini wakidaiana, tena watu wadogo kama wewe wakikuchinja huko porini, hivi ni chombo gani cha habari kitajisumbua kuandika taarifa zako wewe peke yako mtu ambaye huna umuhimu wowote katika jamii?.
Usiulize kupewa haki kabla ya wewe kutoa haki, Mimi nimekuambia kuhusu uzoefu wangu wa Kenya, kwanini unaomba links za uzoefu wangu, lakini unahisi wewe hupaswi kutoa link za uzoefu wako?.unahisi uzoefu wako haupaswi kutoa ushahidi, lakini unataka tukuamini, ila Mimi sipaswi kuzungumza mipaka nitoe ushahidi. Stupid
hahahaha, muambie aweke evidence kwanza kwa Yale yote aliyoyasema, kabla hajataka Mimi nimuwekee evidence.Mpatie links ya vifo tatu ulivio kua unasema,mengine ni porojo......kazi yako nikuropokwa bila evidence maneno ambayo sio ya kweli
soko kenya lipo zuri tu na hasa ukiweza kupeleka bidhaa zenye ubora unaotakiwa, mambo ya wakenya ya kulinda soko yasikutishe kwani wamesaini mikataba ya kimataifa ya kibashara,hivyo sheria za EAC, WTO zinamlindaAchana kabisa kupeleka biashara Kenya kama bado unapenda kuendelea kuishi hapa duniani, hao jamaa ni makatili wa kupitiliza, bora ufikirie masoko ya Rwanda, Zambia, Malawi na Zimbabwe, huko kuna Soko kubwa sana la finished goods.
kama una ushahidi basi na sisi tuanze kuwafurumisha huku kwetu, haiwezekani kenya iwe yao TANZANIA iwe yetu sote, hili halikubalikiUsijaribu hata kidogo kufanya biashara na wakenya. Niwezi tena wapotayari kukuua.
Nipoa na list ya wakenya wengi tu wamewatapeli watanzania. Ninaweza kuwataja hata majina yao hapa.
Fikiria kufanya biashara kwenye ujanda wa SADC, Burundi, Rwanda, Uganda, S. Sudan nk. Na siyo kenya.
Hivi kweli wakenya mnauliza" evidences" za mauaji yanayotekelezwa na wakenya?, ni sawa na kuomba ushahidi wa Kuwepo kwa maji ya chumvi ukiwa unaogelea baharini. Kenya huitaji evidences ya mambo yafuatayo.Halafu kuna forums watu hupigwa ban kwa kuweka such claims bila kuhusisha ushahidi, ifike wakati Moderator waanze kuwa serious hapa JF.
Tuhuma za mauaji unazusha chuki bila ushahidi.
Hivi kweli wakenya mnauliza" evidences" za mauaji yanayotekelezwa na wakenya?, ni sawa na kuomba ushahidi wa Kuwepo kwa maji ya chumvi ukiwa unaogelea baharini. Kenya huitaji evidences ya mambo yafuatayo.
1)Tribalism
2)Corruption
3)Crime
Naona kuna mtu amelishwa za uso kwenye hii thread. Siku hizi anaparamiwa mpaka na Watanzania wenzake. Asante Wyatt Mathewson kwa kuongea ukweli na kumweka sawa.
Kumbe Wyatt Mathewson ndio dawa yako. Siku nyingine ukileta zogo humu JF nitamuita.Mjulishe kwamba vitendo kama hivi Kenya hutokea kila siku.
Mjulishe kwamba vitendo kama hivi Kenya hutokea kila siku.
Hata Japan na USA kuna masikini, lakini hizo haziitwi nchi masikini kwasababu idadi ya watu masikini ni chini ya kiwango kinachokibalika.Hao ni vibaka tu..hata kwenu wako tele...
So miji yote iliyoendelea hukosi vibaka..its either umpe kw upole au uliwe mapanga na wakupore ukileta jeuri
Mbona povu linakutokAWewe ni CcM government apologist,which is okay!
Na mimi sio government apologist!
Siamini serikali ikitamkacho mzee,wewe amini ni haki yako!
Eti kiserikali cha TZ ndio kinajua usalama sana wakati mashirika yote ya ndege Africa yanaenda Jo’burg kama kawaida halafu nimuamini mpuuzi yeyote wa serikali ya Jiwe?
Mkuu,Oliver Tambo’s Airport is most busiest airport in the whole of Africa combined!
Nigerian Air yenyewe walienda japo wao ndio waliouawa!
Mkuu,Xenophobia iishe isiishe ATCL haikanyagi pale mpaka mkulima alipwe maana anaweza irudia!
Unaona 10Bilion ni ndogo eti kwa mauzo ya ATCL kwenda Jo’burg?
Hivi unajua mauzo ya tiketi ya ATCL kwenda Jo’burg ni kiasi gani au unaongea tu?
Na plus,ATCL is pumping loses,has never and will never ever be profitable on this earth!
Nimekunyima haki gani?Kukuuliza swali ni kukunyima haki?
This is new to me!
Serikali aj taasisi kutoa taadhari ya ugonjwa sio kukataza watu wasisafiri mzee.Ni kutoa awareness ili watu wawe makini kufanya preventive measures personally!
Uwezo wangu wa kujenga hoja ni mdogo?Umesema wewe?
Na unadhani nitegemee wewe competitor wangu useme najua kujenga hoja?Hell no!
Na pia,mchezaji wewe,mshitaki wewe na mtoa hukumu wewe kua sijui kutoa hoja!
Kwanini tusichukue third part yeye ndio atoe objective judgement between us?
Weka evidence bwana wacha kupayuka ati most dangerous. Kwani hao Albino wakichinjwa Tanzania wanachinjwa kwa nchi iliyo na Amani? Ule mbunge mliyempiga marisasi karibu kumuua akaja kutibiwa Kenya, mlimpiga risasi kwenye nchi ya amani? Yule bilionea mliyemteka nyara mlimteka nyara kwa nchi ya amani? Usituone tumenyamaza ukadhani sisi ni wazimu.Hata Japan na USA kuna masikini, lakini hizo haziitwi nchi masikini kwasababu idadi ya watu masikini ni chini ya kiwango kinachokibalika.
Tatizo Kenya "crime" is far above acceptable level internationally, that's why Kenya is listed as one of the most dangerous countries on Earth.
Weka evidence bwana wacha kupayuka ati most dangerous. Kwani hao Albino wakichinjwa Tanzania wanachinjwa kwa nchi iliyo na Amani? Ule mbunge mliyempiga marisasi karibu kumuua akaja kutibiwa Kenya, mlimpiga risasi kwenye nchi ya amani? Yule bilionea mliyemteka nyara mlimteka nyara kwa nchi ya amani? Usituone tumenyamaza ukadhani sisi ni wazimu.
Mimi ninawajua watanzania watatu, ambao walikua wanafanya biashara za kupeleka bidhaa Kenya, wameuliwa kwasababu ya kudai pesa zao.
Kwa ujumla wakenya sio watu wa kuwaamini kabisa katika suala zima la pesa, ni watu wenye tamaa sana ya pesa. Sisemi kwamba hakuna biashara inayofanyika, lakini ni miongoni mwa nchi hatari sana, kama kuna " alternatives ", bora kufikiria nchi zingine. Kama mtu ataamua kufanya biashara Kenya, lazima ajue kwamba maisha yake yako hatarini sana.
Hio ni kweli. Wanapenda misifa ya uongo. Eti nchi ya amani Africa. Kwani wanadhani hatutazami runinga na kuona jinsi wanakandamiza upinzani na waandishi wa habari?Ndio zao hawa, bila kijani cha CCM maisha yako lazima yawe ya shida, huwakandamiza sana upinzani, hebu ona hapa jamaa anachezea kichapo kisa tu kavaa mavazi ya chama cha upinzani, utadhani ni kule Afrika Kusini watu wanauawa kisa weusi wa kutoka kwenye mataifa mengine ya Afrika.
View attachment 1208993
Sio kweli .Watu wa Muheza wametajilishwa na soko la machungwa Kenya ,mimi nafanya sana kazi ya vitunguu na wakenya wala hunitowi huko
Mbona povu linakutokA
Hahahaha, kitu kimoja nimeona katika hii post yako, kwamba sasa unaanza kuheshimu mawazo ya kila MTU. Mimi nilimueleza huyu mtoa huu Uzi maoni yangu jinsi ninavyofahamu nchi ya Kenya, wewe ulikua free kumueleza uzoefu wako jinsi unavyoijua Kenya, hukupaswa kuyapinga mawazo yangu na kutaka kuonyesha kwamba wewe ndio unajua zaidi kuhusu Kenya kwasababu unaishi mpakani mwa Kenya. Tabia ya kujifanya unajua nchi au kitu kwasababu unaishi karibu na hiyo nchi, ni tabia ya watu wajinga, bado Nina uhakika hujafikia huko.Wewe ni CcM government apologist,which is okay!
Na mimi sio government apologist!
Siamini serikali ikitamkacho mzee,wewe amini ni haki yako!
Eti kiserikali cha TZ ndio kinajua usalama sana wakati mashirika yote ya ndege Africa yanaenda Jo’burg kama kawaida halafu nimuamini mpuuzi yeyote wa serikali ya Jiwe?
Mkuu,Oliver Tambo’s Airport is most busiest airport in the whole of Africa combined!
Nigerian Air yenyewe walienda japo wao ndio waliouawa!
Mkuu,Xenophobia iishe isiishe ATCL haikanyagi pale mpaka mkulima alipwe maana anaweza irudia!
Unaona 10Bilion ni ndogo eti kwa mauzo ya ATCL kwenda Jo’burg?
Hivi unajua mauzo ya tiketi ya ATCL kwenda Jo’burg ni kiasi gani au unaongea tu?
Na plus,ATCL is pumping loses,has never and will never ever be profitable on this earth!
Nimekunyima haki gani?Kukuuliza swali ni kukunyima haki?
This is new to me!
Serikali aj taasisi kutoa taadhari ya ugonjwa sio kukataza watu wasisafiri mzee.Ni kutoa awareness ili watu wawe makini kufanya preventive measures personally!
Uwezo wangu wa kujenga hoja ni mdogo?Umesema wewe?
Na unadhani nitegemee wewe competitor wangu useme najua kujenga hoja?Hell no!
Na pia,mchezaji wewe,mshitaki wewe na mtoa hukumu wewe kua sijui kutoa hoja!
Kwanini tusichukue third part yeye ndio atoe objective judgement between us?
Soma vizuri unielewe, sijasema hakuna biashara, au soko ni baya, ninachosema ni usalama Kenya ni mdogo sana, hiyo haina maana kwamba kila mtanzania anayefanya biashara Kenya atauliwa au kuvamiwa, lakini uwezekano wa kupata tatizo la kiusalama Kenya ni kubwa kuliko Zambia, Malawi au Rwanda.Sio kweli .Watu wa Muheza wametajilishwa na soko la machungwa Kenya ,mimi nafanya sana kazi ya vitunguu na wakenya wala hunitowi huko