Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Diamond plutnumz amethubutu kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania.

Diamond anatengeneza pesa nyingi, lakini nadhani kwasababu ya exposure yake ni ndogo anahisi yeye ni kati ya watu 1,000 Tanzania wanaotengeneza pesa nyingi.

Nimwambie Diamond pesa alizonazo au anazoingiza ni kidogo sana ukilinganisha na matajiri wengi hapa Tanzania. Hivyo vimilioni 300 anavyopata kupitia endorsement ni ndogo, nchi hii kuna watu Wana Hela mbwa haruki.

Nataka nimwambie Diamond, afanye utafiti mdogo tu, atagundua kuwa hata katika matajiri 10,000 Tanzania yeye hayupo, hana biashara yoyote ya maana, media sio biashara ya kujitambishia utajiri, kuuza mziki si biashara ya kujitambishia utajiri nchi hii, pesa za matangazo si biashara ya kujitambishia utajiri.

Unaweza kuwa mwanamuziki tajiri Tanzania sawa kwakuwa wasanii wengi ni choka mbaya, hata Mimi mwenye utajiri wa bilioni 2 wasanii wengi kama kina Whozu nawapita utajiri.

Hivyo kwenye suala la pesa yeye bado ni mtoto mdogo, na muda wowote anaweza kufulia kwakuwa Hana vyanzo sustainable vya mapato.
 
Kwa miaka ambayo Diamond amekuwa kwenye hili game la mziki na mahusiano yake na watu wa nchi nyingine, exposure anayo kubwa sana

Huhitaji miaka elfu kupata exposure, toka miaka ile aliyoanza kujichanganya na wasanii wa nje ya nchi amepata exposure kubwa sana

Issue ya kuwa tajiri namba 1 ni ambition ambayo anayo, haina maana itatimia

Ila ukweli si ni jambo jema kujitakia mazuri na kujinenea mema?
Basi ana kila sababu ya kufanya hivyo
Diamond plutnumz amethubutu Kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania,.
Diamond anatengeneza pesa nyingi , lakini nadhani kwasababu ya exposure yake ni ndogo anahisi yeye ni kati ya watu 1000 Tanzania wanaotengeneza pesa nyingi. Nimwambie diamond pesa alizonazo au anazoingiza ni kidogo sana ukilinganisha na matajiri wengi hapa Tanzania. Hivyo vimilioni 300 anavyopata kupitia endorsement ni ndogo , nchi hii Kuna watu Wana Hela mbwa haruki.
Nataka nimwambie Diamond, afanye utafiti mdogo tu, atagundua kuwa hata katika matajiri 10000 Tanzania yeye hayupo,Hana biashara yoyote ya maana, media sio biashara ya kujitambishia utajiri, kuuza mziki si biashara ya kujitambishia utajiri nchi hii, pesa za matangazo c biashara ya kujitambishia utajiri. Unaweza kuwa mwanamuziki tajiri Tanzania sawa kwakuwa wasanii wengi ni choka mbaya, hata Mimi mwenye utajiri wa bilioni 2 wasanii wengi kama kina whozu nawapita utajiri.

Hivyo kwenye suala la pesa yeye bado ni mtoto mdogo, na muda wowote anaweza kufulia kwakuwa Hana vyanzo sustainable vya mapato
 
Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
 
Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
Yani jamaa anaropoka tu
 
Diamond plutnumz amethubutu kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania.

Diamond anatengeneza pesa nyingi , lakini nadhani kwasababu ya exposure yake ni ndogo anahisi yeye ni kati ya watu 1,000 Tanzania wanaotengeneza pesa nyingi.

Nimwambie Diamond pesa alizonazo au anazoingiza ni kidogo sana ukilinganisha na matajiri wengi hapa Tanzania. Hivyo vimilioni 300 anavyopata kupitia endorsement ni ndogo , nchi hii kuna watu Wana Hela mbwa haruki.

Nataka nimwambie Diamond, afanye utafiti mdogo tu, atagundua kuwa hata katika matajiri 10,000 Tanzania yeye hayupo, hana biashara yoyote ya maana, media sio biashara ya kujitambishia utajiri, kuuza mziki si biashara ya kujitambishia utajiri nchi hii, pesa za matangazo si biashara ya kujitambishia utajiri.

Unaweza kuwa mwanamuziki tajiri Tanzania sawa kwakuwa wasanii wengi ni choka mbaya, hata Mimi mwenye utajiri wa bilioni 2 wasanii wengi kama kina Whozu nawapita utajiri.

Hivyo kwenye suala la pesa yeye bado ni mtoto mdogo, na muda wowote anaweza kufulia kwakuwa Hana vyanzo sustainable vya mapato
Inakuathiri vipi kwenye majukumu yako ya kila siku?
 
Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
Wewe inaonesha hata kwenye ukoo ni WA mwisho Kwa utajiri
 
Back
Top Bottom