Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
Huyo Tedd Boehly kamwaga paundi bilioni moja kwenye dirisha moja tu la usajili, na kama sio sheria zao za FFP angemwaga bilioni moja nyingine dirisha lililopita, kuna watu wana mipesa mpaka wanatamani kuitupa mbali.
 
Diamond plutnumz amethubutu kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania.

Diamond anatengeneza pesa nyingi , lakini nadhani kwasababu ya exposure yake ni ndogo anahisi yeye ni kati ya watu 1,000 Tanzania wanaotengeneza pesa nyingi.

Nimwambie Diamond pesa alizonazo au anazoingiza ni kidogo sana ukilinganisha na matajiri wengi hapa Tanzania. Hivyo vimilioni 300 anavyopata kupitia endorsement ni ndogo , nchi hii kuna watu Wana Hela mbwa haruki.

Nataka nimwambie Diamond, afanye utafiti mdogo tu, atagundua kuwa hata katika matajiri 10,000 Tanzania yeye hayupo, hana biashara yoyote ya maana, media sio biashara ya kujitambishia utajiri, kuuza mziki si biashara ya kujitambishia utajiri nchi hii, pesa za matangazo si biashara ya kujitambishia utajiri.

Unaweza kuwa mwanamuziki tajiri Tanzania sawa kwakuwa wasanii wengi ni choka mbaya, hata Mimi mwenye utajiri wa bilioni 2 wasanii wengi kama kina Whozu nawapita utajiri.

Hivyo kwenye suala la pesa yeye bado ni mtoto mdogo, na muda wowote anaweza kufulia kwakuwa Hana vyanzo sustainable vya mapato
Povu la nini
Amezuiliwa kuota?
Kwani kuwa na ndoto kunahitaji exposure?
Huu ni ubongo wa kuku kama sio panzi
 
Diamond plutnumz amethubutu kusema kuwa ana ndoto ya kuwa tajiri namba moja Duniani, na Si Africa, Wala East Africa Wala Tanzania.

Diamond anatengeneza pesa nyingi , lakini nadhani kwasababu ya exposure yake ni ndogo anahisi yeye ni kati ya watu 1,000 Tanzania wanaotengeneza pesa nyingi.

Nimwambie Diamond pesa alizonazo au anazoingiza ni kidogo sana ukilinganisha na matajiri wengi hapa Tanzania. Hivyo vimilioni 300 anavyopata kupitia endorsement ni ndogo , nchi hii kuna watu Wana Hela mbwa haruki.

Nataka nimwambie Diamond, afanye utafiti mdogo tu, atagundua kuwa hata katika matajiri 10,000 Tanzania yeye hayupo, hana biashara yoyote ya maana, media sio biashara ya kujitambishia utajiri, kuuza mziki si biashara ya kujitambishia utajiri nchi hii, pesa za matangazo si biashara ya kujitambishia utajiri.

Unaweza kuwa mwanamuziki tajiri Tanzania sawa kwakuwa wasanii wengi ni choka mbaya, hata Mimi mwenye utajiri wa bilioni 2 wasanii wengi kama kina Whozu nawapita utajiri.

Hivyo kwenye suala la pesa yeye bado ni mtoto mdogo, na muda wowote anaweza kufulia kwakuwa Hana vyanzo sustainable vya mapato
Mwambie ahame kwanza lile gorofa la kupanga mbezi.
 
Hili neno 'exposure' linachezewa sana kwani lina maana gani hasa?
Kusafiri nje ya nchi hasa Ulaya, Marekani na Australia. Na kupiga picha na kuposti umevaa Adidas au Nike huku umeshika iPhone.

Juz nilivypost video mwijaku akijiabisha NY members walinicheka sana simu yangu nikawashangaa sana thed weld dwellers laiti wangejuwa.

gammaparticles
 
Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
nAhis alikuwa kalewa
 
Kusafiri nje ya nchi hasa Ulaya, Marekani na Australia. Na kupiga picha na kuposti umevaa Adidas au Nike huku umeshika iPhone.

Juz nilivypost video mwijaku akijiabisha NY members walinicheka sana simu nikawashangaa sana thed weld dwellers laiti wangejuwa.

gammaparticles
saivi nikiona mtu anapenda kusema exposure najua atakuwa na ushamba
 
Tatizo watanzania wanapenda kuongopewa. Wanasiasa na manabii feki hujipigia hela kwa huu ujinga uliopo. Diamond karopoka hadharani lazima akosolewe hadharani. Unataka kuwa tajiri namba 1 halafu unanunua rolls royce ya 2b huku ukiishi nyumba ya kupanga? Aache upumbavu aisee. Hao walioko kwenye top ten wamefanya vitu vya kipekee sana kuwa pale walipo.. kikawaida ni ngumu sana. Kuna watu kama kina Asas, Gsm, Oveland (Awadh) wametandaza malori kutoka Tunduma hadi Dar na hawatajwi hata top 5 ya matajiri hapa nchini.
 
Tz hapa matajiri wanaomiliki Billion tano tano hadi 10 ni wa kumwaga lakini bado tunawaona wananyenyekea kwa watu flan flan kwahiyo ni dhahiri kibongo bongo matajiri wakubwa ni wengi ila hawafahamiki
Anatakiwa achuane nao kwanza ili aanze na kuwa tajiri namba 1 Tz
 
Back
Top Bottom