Mnatoa huduma za kumnunulia mtu kitu? Mfano nataka kununua Kitu JD.comRate yetu Kwa normal goods ni USD 10/kg na mizigo yenye battery maji maji na sumaku ni USD 12/kg
Umeniwahi na hili swali Chief.Mnatoa huduma za kumnunulia mtu kitu? Mfano nataka kununua Kitu JD.com
Mkuu dola kumi kwa kilogramu au mimi naona vibaya, na mzigo utachukua muda gani kunifikia.Rate yetu Kwa normal goods ni USD 10/kg na mizigo yenye battery maji maji na sumaku ni USD 12/kg
WanapatikanajeTanzua Express tu ndo wa kuamini katika kazi hizi
Sio Tanzua tu,kuna wababe wengi wanafanya vizuri tu.Tanzua Express tu ndo wa kuamini katika kazi hizi
Mzigo Usio na sumaku maji maji wala battery unachukua siku 5-7 kuupataMkuu dola kumi kwa kilogramu au mimi naona vibaya, na mzigo utachukua muda gani kunifikia.
Na maswala ya TRA inakuwaje utaratibu.
Sisi tuna uzoefu wa miaka mitatu katika usafirishaji
Instagram search Flamingo Express
Dola moja kwasasa mna exchange kwa shilingi ngapi ili niwa jaribuSisi tuna uzoefu wa miaka mitatu katika usafirishaji
Instagram search Flamingo Express
SureSio Tanzua tu,kuna wababe wengi wanafanya vizuri tu.
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
mkuu kwenye hizo sites za china, mnapambanaje na language barrier.Mnatoa huduma za kumnunulia mtu kitu? Mfano nataka kununua Kitu JD.com