Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini jamaa hajatafsiri bado ni upendo wa kwenye pichu(kibaba baba)?au wa kidada dada?
Mmmh pitia Leo kijiweni ukitoka job pls
Hehehhehehehehehehe itabidi niwe house boy natuma barua ya maombi bosi
Kiongozi nimeambiwa unaniita. Kunani hapa?
lara 1 hata kama hutaki kutajwaa Kanitangazeeeeeeeeee Evelyn Salt pamoko sanaa masai dada TATIANA ICHANA my wii ladykim
Utamu wangu Redlum nakupenda sanaaaaa mkatangazeeeeeeeeee hahhhhhaaaaa
Kuna watoto wanaku seduce kwa kukushika sharubu
Luv u too my wii
Na chama letu woote la TATIANA masai dada Mrembo by Nature
Ukimwona Binamu warumi niitie aje namwita
Leo ndo nimejua kumbe we ni jinsia pinzani pendwa. Hebu twende PM nikakuambie kitu changu.
warumi bana ha ha ha maneno yake tu natamani nipange appointment nimdeku
baadhi ya maneno yake ambayo huwa sisahau " mna nikatisha tamaa naenda mbali kuwatafutia umbea halafu mna sema nacopy" dah huwa sisahau mie. " nachungulia madirishani kwa watu ilimradi tu niwape umbea"
haya jana kalala msibani ili apate news ha ha ha mbavu zangu mie
Ha ha teh babu unaniita
Nni tna
Leo ndo nimejua kumbe we ni jinsia pinzani pendwa. Hebu twende PM nikakuambie kitu changu.
Inaonekana jina langu gumu kuandikwa.