Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Mweeeeh! Kuna nini hapa mbona munasheherekea hiviiii! !!
 
Wewe kwanza chama gani? Naona unatuingilia kikatiba! Watu tupo chamani mda wote wewe uje tu ubebe bakuli la dhahabu ghafla ghafla tukuangalie? Thubutuuuu! Itifaki lazima izingatiwe! Cc@vin diesel

mapenzi tele juu yako kubwa la maadui....itifaki imezingatiwa.....
 
mapenzi tele juu yako kubwa la maadui....itifaki imezingatiwa.....
Weweweeeee! Mwaaaaaaaaah! ( huuuuuuuu! Ungenivua nguo ningeiweka wapi sura yangu?) Cc Tyta, @figaniga penzi ni kikohozi kulificha siwezi mie!
 
Last edited by a moderator:
usijali......subiri kama kama kamwezi hv tujiridhishe na id yako pasi na shaka......no offense.....''ke-me'' wako wengi siku hizi...

jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!
 
yaani mi ndo bila bila.. mwekundu njoo nipe summary ya kinachoendelea hapa...mshafika mbali ati
me mwenyewe sielewi naona
watu meno nje wanaruka bila kukanyagana wanasheherekea ebu tumvute
pembeni mwekundu
atueleze afu mpokonye hiyo kilimanjaro ataidondosha sa
hivi!!
 
Last edited by a moderator:
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!

babu Asprin ,mwongozo wako unahitajika.....
 
Back
Top Bottom