Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

nikikuambia kwa hapa, wanga wengi.

Kwanza hebu nipe angalizo. Una kadalili kokote ka kunipenda au japo ka kunitamani kwa mbali?

Uuuuuwi babu utapotezwa kama ndege ya Malaysia
Kukutaman wala kukupenda ctoweza kwa maana mishipa na fahamu zake cijui zipo wapi
 
Mom Fay Nakupenda sana Mke Mwenzangu,Mimi bila wewe siwezi kumwendesha mume wetu,Hakika tutapendana daima na kumjali mume wetu
Ennie ure my real and True Queen Nakupenda saaanaa
mimime Ure my QIUT Queen ,
Bantu lady hakika wewe ni ......wangu utake usitake nakupenda saaanaaa much respect
NAMTUMBA darling, ure my soul,heartbeat,colget and pafyum....
Tuko Nakupenda sana japo unamke Jawilat ...daima nitabaki mchepuko..hahhahah
Humbled.
Much love kwako pia twin,you are so special.
 
Last edited by a moderator:
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!

wewe ndiyo yule bikra kigoli?

ama kweli duna hadaa , leo hii wewe ni wa kuomba upenda?
 
Itapendeza kama un-express your love to somebody uka-dedicate na wimbo mzuuuri nadhani itakua BAAAB KUUBWA!!!
 
Uuuuuwi babu utapotezwa kama ndege ya Malaysia
Kukutaman wala kukupenda ctoweza kwa maana mishipa na fahamu zake cijui zipo wapi

Ama kweli kukataliwa kubaya, kukataliwa mateso. Leo ndo nimeamini.

ngoja niendeleze mapenzi yangu kwa Guinness beer ya ukweee.
 
I ALREADY HAVE HIM, KIONGOZI WANGU CCM, NAMCHUNA KWA CHATI, Morg is JUST FANTACISING AND DREAMING!

I am not 9RIVILLAGED TO LOOSE HIM! How can i loose my ticket to a goodlife,? Chezea 2015!?
lara 1...sasa haya mambo ya kuchunana hadi umwambie kila mtu jamani
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom