Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
relax take hot water please
İsipokuwa mimi. Nitoe kwenye list yako kabisaaaa. Usiponitoa najitoa JF.
Wengine tuna danu ya kunguni
Hata mmoja kukosea na akanitaja hakuna
Dadadeki ........
CC: Ennie .......!!!!!
do ze nidful to calm me down baby...........
nipo mamy my king is not around otherwise sred tungeijaza sisi hahaha
teambazazi bring back my Excel
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!
hapa naonekana kuna fukuto la danta kwa danta........
Kwa niaba ya Excel,,ambaye yuko vitani Sudan ya Kusini,salamu kwako miss neddy
Vaa koti jeupe na stethoscope utanikamata kirahisi...tena ukivaa na gloves unanimaliza.We nimekuweka kiporo cha malovee mpaka ntakapokuwa daktare. Potelea mbali hata kama ntakuwa daktare wa mifugo.
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!
I would love to express my love to.. Morg my Heaven on Earth Vaislay my number one gal charminglady kubwa la maadui na kada namba moja wa Chama lara 1 miss chagga na warembo woooooote wa JF
Tatizo ulitoroka kabla sijamaliza kukukagua. usijali, nafasi bado ipo, kam wei. Without.