Nadhani unakumbuka biashara yangu na wewe bado hatujaimaliza. na unajua fika we ndo mkwamishaji. najua unajua kuwa mtaji ninao. Haya timizg wajibu wako chapchap kabla sijakuendea kwa sangoma.
Hii thread imeniamsha. Kuna sababu ya kuitisha kikao cha dharura cha #teambazazi #, Kuna mgongano wa kimaslahi hapa naona.
cc KakaKiiza, Vin Diesel, Mentor, Nicas Mtei, Kaizer kwa taarifa na maandalizi. Hatutaki ACT izaliwe ndani ya UKAWA yetu. Pepo lishindwe.
Babu tuliaaaaaaa! He who laughs last laughs long! Ww vijana hawa nguvu ya soda, mambo yako nakutunzia! Itifaki ya ukaguzi lazima izingatiwe!
Hakuna mwingine zaidi yako
Nadhani umeona hubby kasemaje ...sina muda tena wa kupoteza....pole mkongwe jiwe la mtoni nimekutoa ukucha huhuuuu,Hahaaaaa! Mi nipo WENGI WAMEACHIA NGAZI NA WENGINE WAMEPANDA MI NASIMAMA PALEPALE! Come January come december, HOE alitakaga hadi kumzalia huyu mswati, sijui iliishia wapi, JIWE KUU NIMETULIA NASUBIRIA KUNSAVE MY COUNTRY!
Hivi si wewe babu uliyenipa saund juzi?
Hahahaaaa! Sing'oki hata kwa greda! Niko nae chumbani namchezea sharubu mda hu, wewe wasalimiw djbought waethiopoa wale! UJANJA KUPATA!Haya we lara1 & CHAMInglady fungasheni virago oleeee niwaone tena mnamfatafata Hubby wangu Vin Diesel...SAWA?
Hahaaa! Nani aende? Kuku wangu mwenyewe huyu wala sihitaji manati! Najua nyie wote ngamia wa malonesho tu hamuingii sebleni! Baby Vin Diesel MWAAAAAAAAAAAH.!Poleee bebaneni muende
Vin Diesel toa tamko kabla sijakuhujumu kwenye uchaguzi wa NEC! Toa tamko!Nadhani umeona hubby kasemaje ...sina muda tena wa kupoteza....pole mkongwe jiwe la mtoni nimekutoa ukucha huhuuuu,