Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Nadhani unakumbuka biashara yangu na wewe bado hatujaimaliza. na unajua fika we ndo mkwamishaji. najua unajua kuwa mtaji ninao. Haya timizg wajibu wako chapchap kabla sijakuendea kwa sangoma.

Babu tuliaaaaaaa! He who laughs last laughs long! Ww vijana hawa nguvu ya soda, mambo yako nakutunzia! Itifaki ya ukaguzi lazima izingatiwe!
 
Hii thread imeniamsha. Kuna sababu ya kuitisha kikao cha dharura cha #teambazazi #, Kuna mgongano wa kimaslahi hapa naona.

cc KakaKiiza, Vin Diesel, Mentor, Nicas Mtei, Kaizer kwa taarifa na maandalizi. Hatutaki ACT izaliwe ndani ya UKAWA yetu. Pepo lishindwe.

Ipo haja kukaa na kuzungumza pamoja na kupitia mipaka na mikataba yote ili kuweka mambo sawa kabla hayajawa shaghala baghala.. By the way mimi nitakaa kikao na Zinduna huku tulipo ili kuweka mambo sawa.
 
Last edited by a moderator:
Ipo haja kukaa na kuzungumza pamoja na kupitia mipaka na mikataba yote ili kuweka mambo sawa kabla hayajawa shaghala baghala.. By the way mimi nitakaa kikao na Zinduna huku tulipo ili kuweka mambo sawa.

Kwani Zinduna naye kaingia tunduni?
 
Last edited by a moderator:
Babu tuliaaaaaaa! He who laughs last laughs long! Ww vijana hawa nguvu ya soda, mambo yako nakutunzia! Itifaki ya ukaguzi lazima izingatiwe!

Naamini Vin Diesel na viboys vyenzake vlnajua lugha zote mbili. Naamini watakuwa wamekuelewa.

Usisahau kukam zis wei..... without.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa! Mi nipo WENGI WAMEACHIA NGAZI NA WENGINE WAMEPANDA MI NASIMAMA PALEPALE! Come January come december, HOE alitakaga hadi kumzalia huyu mswati, sijui iliishia wapi, JIWE KUU NIMETULIA NASUBIRIA KUNSAVE MY COUNTRY!
Nadhani umeona hubby kasemaje ...sina muda tena wa kupoteza....pole mkongwe jiwe la mtoni nimekutoa ukucha huhuuuu,
 
Back
Top Bottom