Ndo ujue hapo kwa Vin Diesel labda ukubali uwe mchepuko. #Teambazazi # Tuna ushirikiano na uthubutu kama AlShabaab. Huwezi ingia kundini bila ukaguzi wa babu, usije ukawa mamluki wa Uhuru Kenyatta.
kaizer mamboo!mbona siku hizi sikuonii mitaa fulani hvii!!umebanwaa ni nini!
Bebii angu richpaul i miss you mpaka natetemeka!!!mwaaah
si umeona usivyonipenda? yani umekubali kirahisi hivyo diha!sawa tu
Sheyshe
hahaha uwiiiiiii nimejaribu hapa kama kibogoyo
kuna tatizo?
Hahahaaaaa,,tatizo wapi,wivu tuu kuwa husijekuwa una kaka yako basi unataka kumuibia laazizi wangu Bantu lady!
Acha tu nimekufa nimeoza kwa mtoto wa mbezi beach
mie nakula na wakubwa wala sikuachi lara 1 unapokula nataka na mimi nile loh!!! ukubwa kuona mengiHaqa ni grab them while thwy are in the darkness! Akikaa mjengoni hutogusa level zile! Kama kina January, basi tu Thuwein Makamba mtoto mdogo yule kwangu la sivo angenikoma! GWT THEM EARLY ANS STAY TUNED!
Hujamuona huyu live eeeh? Udongo wa pemba huu ndo maana tunabanana hapo hapo hadi mie mama mtu mzima nimo! Makubwaaaa!
umeenda mbalii, nakuiba wewe