Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Natumia simu sijajua ka nimetajwa. Hii kazi yangu inanikosesha wachumba iv iv. Nnaotaka kuwataja washatajwa.
Nabaki njia kuu.
 
jaman dia mimi sio mgeni! halafu ni KE shahidi babu asprin alinikagua na nlishawahi kuolewa na windo7 akaniacha! naomba unipende diha tyta plz!

dadaaa stay away! bado nampenda Tyta wangu
 
Last edited by a moderator:
Wee bana waache warembo njoo kwenye forum za Wakenya utufahamishe kwa nini katika utajiri wa mijini, hamna mji hata mmoja wa Bongo upo kwenye ishirini bora Afrika, ilhali Nairobi yetu ipo ndani kumi bora. Yaani hata Dar es Salaam imeshindwa na Mombasa. Waite wenzio wakusaidie Kimweri Bulldog Geza Ulole Askari Kanzu https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ouseholds-earning-over-$10-000-each-year.html
Kwa style hii, naona hata warembo wa Kibongo tutawateka wote, hapa Nairobi kuna jamaa yangu kamteka na kumuoa mtoto mrembo wa Iringa. Afu jinsi anavyobabaisha kwa Kiswahili chake kitamu, vijana wengi wameanza michakato ya kutalii Bongo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…