Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
hasante sn shem, here i am
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siwezii kuwagombanisha shemeji angu zima taa:redface: haya nakuja
miss neddy mlikuwa mnanijadili ama
unauliza bila kuni cc...........hutapata jibu abadan kataan...
hahahaha asije akapinduliwa my shostito lol
am all hers
Hahaaa naogopa ile kitu inalia"paaaaa" utumbo kuleeee....tamka"sheyshe"
Yaani bado ujmekomalia visivyotakiwa
Ngoja nikugoogle kwen server zangu
Wee bana waache warembo njoo kwenye forum za Wakenya utufahamishe kwa nini katika utajiri wa mijini, hamna mji hata mmoja wa Bongo upo kwenye ishirini bora Afrika, ilhali Nairobi yetu ipo ndani kumi bora. Yaani hata Dar es Salaam imeshindwa na Mombasa. Waite wenzio wakusaidie Kimweri Bulldog Geza Ulole Askari Kanzu https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ouseholds-earning-over-$10-000-each-year.htmlhapana mkuu,kwanza hakuna demu hata mmoja bali wanaume watupu ndio wanao lifanya jukwaa la KF kuwa active.ningefurahi kama na watoto wa kike nao wawe wanachangia.tupo KF kupangua uzushi,majigambo na mbwembwe za wakenya dhidi ya watz.muulize lawmaina78 atakwambia huwa tunawafanya nini wanapo kuja na mbwembwe zao.CC Kimweri Geza Ulole and Bulldog
back to the topic :umesema umesha mjua?!!!....kama umemjua iwe siri yako mkuu.usije ukamwaga mtama kwenye kuku wengi,au akazidisha mapozi kwangu.si unajua kidemu cha kibongo kikishajua umekipenda kinazidisha mashauzi kukukomoa.
Nawapenda wote ambao kila post wao wanatukana wenzao tu. Hawakujui, huwajui wao matusi kwa kwenda mbele.