Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi na wewe bado hujanitaja Sawa!!baga ndo nini tena mkuu? mimi nimezoea kiburu na kitawa na ngararimo
Subiri nimtafute na mimi[/QUO
Ina maana hayupo moyon?
Nahisi nimechelewa kuingia JF kwa iyo nimekuja kila mtu ana wake
mmmh we ni mwongo unajitetea nimejua... nimetuma mesage yenye chocolate kabisa mbona unavurugu lakini
nakushangaa unajidai unafanya dieting for the seek of our love halafu hapa hunitaji , na PM sioni........
Aah wapi mmechemsha aiseemwekundu chama letu #teamrafiki tunakuaga na mmoja TU
I love you too babe.........
Nawapenda wana JF woteeeeeeeeeeeeee
kuna vichaa wangu humu wa 4
lara 1
Evelyn Salt
Dinazarde
miss neddy
NAHISI NI FAMILIA YANGU HUMU
Asprin
Mentor
The Intelligent
Bull dog
Kiranga
na wengi wengine aiseee ur my family
wea famity(ice age hippo)
na chama kubwa Tyta
Acha tu nimekufa nimeoza kwa mtoto wa mbezi beachHeeeeeeeeeee unamlilia na chozi lakutoka View attachment 159441jamani bestito pole kwa kupenda
Najisikia kufanya ushirikina.....eeeh mwenyezi Mungu nijalie wepesiMkuu huko chini ya miguu yangu wafanya nini, unanichungulia? Hujui kama Heaven on Earth ni mke wangu? mia
ICHANA nakupenda sana mfanyakazi wangu
Napenda unavyojituma na uaminifu wako
Wewe ni kila kitu kwangu bila wewe mimi siwezi kuishi
Jah bless wewe nakupenda sana.