CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
chamy mie nipo mwaya, si unajua tena mambo ya mahaba niue..
Angalia yasiwe mahaba niue kama wagonjwa wa Dengue!! :becky:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chamy mie nipo mwaya, si unajua tena mambo ya mahaba niue..
Ha ha ha utatuma kwangu
Mm ndo sales manager
Express unayempenda kwanza
hmmmmmm.
interesting.
Makubwa embu muulize vizuri
Mm mtundu kwa kipi
Itabid nije na mume wangu kazin haya maneno mazito kwa kweli
Wewe nan kakupa talaka. Hebu kam wife.!
Kumbe imekula kwanguAsante shem hilo mzee kibo10 analijua
Uwajibikaj wangu na uaminifu kwenye kazi bila kusahau kujituma vyoote ni kwasababu ya kumpata mume wangu kipenzi Mokoyo
Ananileta job na jion anakuja kunichukua ananipa upendo wa kipekee.
I love my hubby with all of
my heart no one like him.
naona unaitafuta tindikali mkuuu
we endelea tu
Umenikumbusha Pacha wangu Mtoto halali na hela...Loveeeee uuuuuuu my dearest Pachaaaaaahahaha my twin OLESAIDIMU kam this way wanataka kuuana kwa mali za wizi lol