Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Duuu mi ndo sina hata mumoja anaenikubali hapa MMU maskiniiii loho yangu mie
Nimekuona tu macho yangu yakatabasamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu mi ndo sina hata mumoja anaenikubali hapa MMU maskiniiii loho yangu mie
Huu uzi ngoja nipite kimya kimya hadi mtaa wa saba! Huu uzi una wenyewe..
Wee bana waache warembo njoo kwenye forum za Wakenya utufahamishe kwa nini katika utajiri wa mijini, hamna mji hata mmoja wa Bongo upo kwenye ishirini bora Afrika, ilhali Nairobi yetu ipo ndani kumi bora. Yaani hata Dar es Salaam imeshindwa na Mombasa. Waite wenzio wakusaidie Kimweri Bulldog Geza Ulole Askari Kanzu https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ouseholds-earning-over-$10-000-each-year.html
Kwa style hii, naona hata warembo wa Kibongo tutawateka wote, hapa Nairobi kuna jamaa yangu kamteka na kumuoa mtoto mrembo wa Iringa. Afu jinsi anavyobabaisha kwa Kiswahili chake kitamu, vijana wengi wameanza michakato ya kutalii Bongo.
I cant stop loving you babe Asprin
Daah kaz kweli kweli
my love to all jf members
angalau umenigusa lol!! maana sijatajwa mahala popote hahahah
hahahaha huna mkanda mweusi waweza kupangua pisto na pigo takatifu
hello bro. uko poa wewe?
kumbe wewe ni kama mimi? Kama wewe ni she, unaonaje tukaanzisha ushirika wetu? Manake mimi ni he niliyebaguliwa. Nasubiria majibu nijue pa kuanzia.
Niko powa bro huonekane kabisa.
looo!niambieee! ushagoogle?
Bebii angu richpaul i miss you mpaka natetemeka!!!mwaaah
nipo kaka, namwaza mke wangu masaa yote.