Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo aaache umarioo kijana smart yule na suti zake fresh anawekwaje na mwanamke tena geto.la.vile ha ha ha boksa sijui aliitoa uvunguni
ha ha ha utadhani anaingia.pangoni
ndo aaache umarioo kijana smart yule na suti zake fresh anawekwaje na mwanamke tena geto.la.vile ha ha ha boksa sijui aliitoa uvunguni
Fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama.......
kibamia kile hakuna big pipe pale...ila ni mtaalamu wa kuzama chumvini mweh...
Utakuwa na rambo wewe sio bure..hehe
yaani huyu mvulana hajielewi kabisa mi nilifikiri yale yaliyompata kwa dida yangekuwa wake up call....ila afadhali sasa wanaume nao waone cha moto maana walizidi kuwarekodi wanawake..lol
ha ha ha ila huyo dada.nae.mweh hicho chumba
ha ha ha ila huyo dada.nae.mweh hicho chumba
ha ha ha ila huyo dada.nae.mweh hicho chumba
Fukuza fukuza inakidhoofisha chama
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya kutokua na imani na waziri mkuu?
angekuwa anatumiwa na usalama wa taifa angetoa hoja binafsi ya mabilioni ya uswis?.......katu sikubaliani na maamuzi ya kumvua zitto uanachama.......
ha ha ha ila huyo dada.nae.mweh hicho chumba
afadhali, maana wengine hata hatuji ndio nani hapa...Alikuwaa mlinzi wa dida
Umeliona taulo? Pazia? Yani kiko disorganized, makorokoro kibao...Yule kweli Mario aliyekubuhu...Vile alivyo anaanzaje kuishi pale? Kwa Dida sawa, nyumba kubwa, organized, safi...ila huku duh...
Dinazarde njoo umkanye mwananzengo mwenzio....
Shoga mbona mie hiyo video sijaiona?Yani nina hamu yakuiona balaa