Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Unaijuwa Billion 100? huyo Abdul atowe wapi pesa hiyo na kwa maslahi gani?Kuna harufu kali na mbaya ya Wenje kununuliwa na kutumiwa kuivuruga chadema..
Inadaiwa kapewa bilioni 100 na Abdul, chadema lichunguzeni suala hili vema.
DP WORLD si wapo?Unaijuwa Billion 100? huyo Abdul atowe wapi pesa hiyo na kwa maslahi gani?
Bilioni 100 inwchotwa hazina kwa maslahi ya mamake kurejea ikulu.Unaijuwa Billion 100? huyo Abdul atowe wapi pesa hiyo na kwa maslahi gani?
Wewe naona humtakii mema. Kuonja sumu kwa ulimi kwani unadhani mchezo?Lissu agombee uenyekiti
Msiaminishwe kila ujinga.Bilioni 100 inwchotwa hazina kwa maslahi ya mamake kurejea ikulu.
UtapotezwaMimi nagombea nafasi ya Mwenyekiti.
Kinyume cha maumbile?Huyu keshaingiliwa na Abdul...
Sawa mkuuake=yake
.Kuna hasara yoyote aliyosababisha Msigwa zaidi ya kudhalilika yeye binafsi?
Ila nakupa taarifa tuSiandiki hizi nyuzi kibwege, hivi Wenje akihama Chadema kutakuwa na hasara gani?
Aende Rorya, Nyamagana amuachie PambaluMimi sipendi watu wanaotamani vyeo vingi.
Sasa Mwenyekiti wa kanda ni yeye, halafu anataka umakamu mwenyekiti Taifa na kama haitoshi pia ametangaza rasmi kugombea Ubunge Nyamagana 2025.
Kule wana ukabila sana Utegi na Shirati.Aende Rorya, Nyamagana amuachie Pambalu
Shida ni kwamba Kwa Sasa Wenje Hana upepo Kama zamani, kwa Sasa Pambalu ataweza.Kule wana ukabila sana Utegi na Shirati.
Hivi jamani kwanini mnazuia watu kugombeaBilioni 100 ni nyingi Sana kumpa Wenje. Ila Wenje kapewa cheo Cha Kanda bado hajarifhika. Akiondoka ndio atapotea kabisa kama msigwa alivyopoteza mazima.