Pre GE2025 Ezekia Wenje: Lissu aliogopa kugombea Umakamu Mwenyekiti na mimi akihofia kudhalilika akishindwa

Pre GE2025 Ezekia Wenje: Lissu aliogopa kugombea Umakamu Mwenyekiti na mimi akihofia kudhalilika akishindwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Baada ya Tundu Lissu kudai kuwa Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yake (Makamu Mwenyekiti) ili wamuondoe, na yeye kuamua kugombea nafasi ya aliyekutuma (Uenyekiti), sasa Ezekia Wenje amejibu mapigo;

Soma: Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

"Lissu alitangaza kugombea Umakamu Mwenyekiti, lakini nilipotangaza kugombea, akaogopa na kunikimbia. Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba, akishindwa na mimi kwenye nafasi ya Umakamu Mwenyekiti, atadhalilika sana. Hivyo, akaamua kwenda kugombea na Mbowe ili hata akishindwa, ionekane ameshindwa na Mwenyekiti."
 
Wenje ni mpumbavu sana. Yani leo hii yeye ni wa kujilinganisha na Lisu na kumkosea heshima namna hii?

Kweli njaa haina baunsa aisee!!
Wenje, mbowe, heche na lissu wote walinunuliwa na lowasa 2015. Labda kinachowatofautisha ni bei zao tu, lakini wote ni bidhaa zinazonunulika. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Tumechoshwa na ujinga wa hawa MAVICHAA YA CHADEMA.

Hapo yanajifanya yanatetea watanganyika kumbe njaa tupu.

Naagiza hii SACCOS YA MBOWE ifutwe mara moja.
Ikiwa umechoka na hizi siasa za CHADEMA basi itakuwa huelewi huu uchaguzi una umuhimu gani kwenye siasa za Tanzania. Na kama huelewe, basi upo kwenye wrong platform ya jukwaa la siasa
 
Wenje, mbowe, heche na lissu wote walinunuliwa na lowasa 2015. Labda kinachowatofautisha ni bei zao tu, lakini wote ni bidhaa zinazonunulika. Huo ndio ukweli mchungu.
Lisu hakununuliwa, sema alishikwa masikio na walionunuliwa wakiongozwa na Mbowe, akajikuta anapelekwa pelekwa tu bila kujijua.

Ndomaana leo hii kila akiyakumbuka yote anakuwa mkali na kutamani kumchana chana Mbowe na genge lake kwa sababu ya lile tukio.
 
Lisu hakununuliwa, sema alishikwa masikio na walionunuliwa wakiongozwa na Mbowe, akajikuta anapelekwa pelekwa tu bila kujijua.
Ludicrous, mtu anayeshikwa masikio na kuongozwa asikokujua anaweza kupewa dhamana ya kuongoza chama kinachotegemewa kukamata dola?

Quo vadis Tanzania!
 
Wapinzani kuchukua nchi bado sana.

Labda itokee kusambaratika kwa CCM lakini si kwa hivi vyama ZILIPENDWA.
 
Yote matapeli, niko na lissu kwa kuangalia tapeli lipi lenye unafuu kidogo 😀 😀
Collective responsibility mkuu, Mbowe alishakula hela hakuna namna. Hata Mnyika alisusa kabisa ila bado alimfanyia kampeni, ni majuzi tu hapa ndio alisema ilimuumiza sana.
 
Collective responsibility mkuu, Mbowe alishakula hela hakuna namna. Hata Mnyika alisusa kabisa ila bado alimfanyia kampeni, ni majuzi tu hapa ndio alisema ilimuumiza sana.
Ipo siku ukweli kuhusu ujio wa lowasa chadema, na nani walinufaika utajulikana.

Mnyika anafahamu, Slaa anafahamu, lakini kwa usalama wa maisha yao wameamua kuwa kimya.
 
Yote matapeli, niko na lissu kwa kuangalia tapeli lipi lenye unafuu kidogo 😀 😀
We jamaa bana zamani ulikuwa CHADEMA Kindakindaki ukakimbia 2015 alivyopokelewa Lowassa naona Sasa umerudi. BTW mwenzio Gagurito hakuondoka ila amepotelea wapi?
 
Tumechoshwa na ujinga wa hawa MAVICHAA YA CHADEMA.

Hapo yanajifanya yanatetea watanganyika kumbe njaa tupu.

Naagiza hii SACCOS YA MBOWE ifutwe mara moja.
Unamuagiza nan wewe matako ya fisi
Jitu pumbavu wewe
 
Wakuu

Baada ya Tundu Lissu kudai kuwa Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yake (Makamu Mwenyekiti) ili wamuondoe, na yeye kuamua kugombea nafasi ya aliyekutuma (Uenyekiti), sasa Ezekia Wenje amejibu mapigo;

Soma: Tundu Lissu: Mbowe alimtuma Wenje agombee nafasi yangu ili waniondoe, nikasema sasa nitagombea nafasi ya huyo aliyekutuma

"Lissu alitangaza kugombea Umakamu Mwenyekiti, lakini nilipotangaza kugombea, akaogopa na kunikimbia. Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba, akishindwa na mimi kwenye nafasi ya Umakamu Mwenyekiti, atadhalilika sana. Hivyo, akaamua kwenda kugombea na Mbowe ili hata akishindwa, ionekane ameshindwa na Mwenyekiti."
View attachment 3196995
Wenje huenda ndiyo mtu mjinga zezeta mbumbu kupata kutokea upinzani Tanzania, ebu pata picha mbowe mzee division 0 mzee wa masimango na wenje Dalali mbumbu washike uongozi mpya, chama kitakuwa cha aina gani? Yaani mazezeta mawili yaongoze chadema si itakuwa balaa
 
Back
Top Bottom