Ezekiah Wenje ahudhuria mkutano wa kamati kuu CHADEMA

Ezekiah Wenje ahudhuria mkutano wa kamati kuu CHADEMA

kuwa unataka utafuniwe kila kitu kwa sababu mara nyingi majibu na maswali yako haya make sense
Lakini bado unaelewa na kujibu, hayo si maajabu na kweli?
Inaonekana hujui maana ya hayo maneno ya "utafuniwe kila kitu". Mtu anayejaza maneno kueleza jambo rahisi kama unavyo fanya wewe; bila ya kuombwa ufafanue kwa kirefu, huoni unajihisi kuwa huwezi kueleza jambo kirahisi likaeleweka; na badala yako unaweka juhudi "kutafuna" bila ya sababu kama unavyo dai mwenyewe?
Ni wapi nilipo omba "unitafunie kila kitu" hadi utumie maandishi mengi kiasi hicho!
 
Lakini bado unaelewa na kujibu, hayo si maajabu na kweli?
Inaonekana hujui maana ya hayo maneno ya "utafuniwe kila kitu". Mtu anayejaza maneno kueleza jambo rahisi kama unavyo fanya wewe; bila ya kuombwa ufafanue kwa kirefu, huoni unajihisi kuwa huwezi kueleza jambo kirahisi likaeleweka; na badala yako unaweka juhudi "kutafuna" bila ya sababu kama unavyo dai mwenyewe?
Ni wapi nilipo omba "unitafunie kila kitu" hadi utumie maandishi mengi kiasi hicho!
Unanipotezea wakati. Kwaheri.

Amandla...
 
Back
Top Bottom