Pambaf kabisa yaani unaona wazi jinsi gani anajipendekeza kwa tabaka tawala lakini kimoyoni anajua wazi anazingua nyau huyuMuandishi kaandika andiko reeefu lakini utopolo tupu mwanzo mwisho.
Najuta kwann nimepoteza muda wangu kulisoma.
We jamaa una digrii ya unafiki😂😂😂Ezekiel kimwaga...dah jamaa ni next level kabisa..... waandishi wa Aina hii Tanzania sasa hawafiki hata kumi
Matusi ni ishara ya upumbavu.lisu ni mfuko wa tumbaku hovyo sana
Mwenyewe Nshala amekiri kuwa ametumia maneno makali, ameshindwa tu kumalizia kuwa ametukana...tusipindishe pindishe.
..madudu yaliyoko kwenye mkataba wa Tanzania na Dubai ndio yaliyosababishwa watu wazungumze kwa lugha kali, au maneno magumu.
..Rais amepoteza heshima yake kwa kuonekana hajali na hana uchungu na rasilimali za nchi yetu.
Mwenyewe Nshala amekiri kuwa ametumia maneno makali, ameshindwa tu kumalizia kuwa ametukana.
Wanao support mkataba ni wasaliti nna IQ ndogo. Kauli kama hizi unadhani ni sawa?Naomba uweke hapa jamvini hizo kejeli!! Plz weka hapa
IQ ndogo sio kejeli bali ni kutokana na kile unachosapoti while kina mapungufu still unasapotiWanao support mkataba ni wasaliti nna IQ ndogo. Kauli kama hizi unadhani ni sawa?