Ezekiel Wenje: Peter Msigwa na Lissu walipanga kufanya mapinduzi kipindi Mbowe yuko gerezani. Mimi nilikataa kuwa muasi

Ezekiel Wenje: Peter Msigwa na Lissu walipanga kufanya mapinduzi kipindi Mbowe yuko gerezani. Mimi nilikataa kuwa muasi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mambo yamezidi kupamba moto CHADEMA.

Kwenye Press conference ya leo amesema kuwa Lema na Lissu walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA wakati Mbowe yuko gerezani na kwamba yeye ni team Mbowe kwa sababu alikataa kuwa muasi ya mapinduzi hayo.

Yaani Wenje ameamua kwenda DEFCON 3 kabisa

 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Aisee hawa wafukuzwe mara moja, uhaini ni kosa kubwa sana...mbona wamewachelewesha ?
 
Msikilize wenje anavyo mnanga Lisu kupitia Habaritv.
Lisu na genge lake ni waasi.
Mwambieni tunawataka hawa waasi na sio walamba asali wakiongozwa na Mwamba wa Zimbabwe pamoja na yeye dalali a.k.a project ya serikali kwa mujibu wa Nabii Lema
 
Ila siasaa n yaa ajabu sana.. hainaa rfk wakudumu walaa adui wa kudumuu😂😂

eti Leo lisuu ,lema hawakai Tena kwenye meza mojaa na mbowee ...
 
Kutaka kile kiti ni uhasi ,hii inaonyesha jinsi gani mbowe akutarajia kupingwa na watu wazito alizani wata mwacha kama kawaida
 
Wakuu,

Mambo yamezidi kupamba moto CHADEMA.

Kwenye Press conference ya leo amesema kuwa Lema na Lissu walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA wakati Mbowe yuko gerezani na kwamba yeye ni team Mbowe kwa sababu alikataa kuwa muasi ya mapinduzi hayo.

Yaani Wenje ameamua kwenda DEFCON 3 kabisa

View attachment 3203415
kwahiyo wapindue wakiwa canda na ubeligi matyako nini huyu!?
 
Wakuu,

Mambo yamezidi kupamba moto CHADEMA.

Kwenye Press conference ya leo amesema kuwa Lema na Lissu walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA wakati Mbowe yuko gerezani na kwamba yeye ni team Mbowe kwa sababu alikataa kuwa muasi ya mapinduzi hayo.

Yaani Wenje ameamua kwenda DEFCON 3 kabisa

View attachment 3203415
Alikuwa wapi siku zote kuyasema haya?
 
Back
Top Bottom