Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .
Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,
Swali huu ni ubinadamu?
Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa
Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned