Ezra Chilewesa: Kwenye suala la Bandari, wananchi mtuache/tutaamua kwa niaba yenu

Ezra Chilewesa: Kwenye suala la Bandari, wananchi mtuache/tutaamua kwa niaba yenu

KAteme

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
483
Reaction score
907
Juzi kwenye mjadala kuhusu Bandari,nilimsikiliza Mbunge wa Biharamuro akiwataka wananchi kuwaamini wabunge wao(spika pia akakazia). Ezra anasema this time around wabunge hawatawakilisha mawazo na hisia za waliowatuma Bungeni, instead wabunge wataamua wanavyojua au kuambiwa wao.

Swali ni je, Si kweli kwamba Kazi ya Mbunge ni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao, inakuaje pale Mbunge anapoamua kupuuza mawazo, hisia na matakwa ya wapiga kura wake na kuamua kulala kitanda kimoja na Mtawala?! Au Wabunge pia wanahisi ni watawala?

Na ni kwanini siku hizi Wabunge wengi wanaongea kama Cabinet Members?...kila Mbunge anayesimama Kazi yake ni kuitetea serikali as if yeye ni Waziri, sasa Kazi ya kuwakilisha mawazo ya wapiga kura, kushauri na kuielekeza serikali nani atafanya?!
 
Anatafuta Uwaziri lakini nimemsikiliza toka Bungeni na kwenye media zingine (UTV) , ni Engineer lakini uwezo wake na maarifa yake ktk sheria na mambo ya uwekezaji ni mdogo.

Ameshindwa hata kujua kwamba kwa azimio la Bunge walilopitisha hakuna mikataba midogo midogo itakayofikia ukomo na hata ikifikia ukomo itabidi iuhishwe tena kwa mujibu wa mkataba mama!

Tumeuzwa kwa waarabu kupitia viongozi vil.aza!
 
Juzi kwenye mjadala kuhusu Bandari,nilimsikiliza Mbunge wa Biharamuro akiwataka wananchi kuwaamini wabunge wao(spika pia akakazia). Ezra anasema this time around wabunge hawatawakilisha mawazo na hisia za waliowatuma Bungeni, instead wabunge wataamua wanavyojua au kuambiwa wao.

Swali ni je, Si kweli kwamba Kazi ya Mbunge ni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao, inakuaje pale Mbunge anapoamua kupuuza mawazo, hisia na matakwa ya wapiga kura wake na kuamua kulala kitanda kimoja na Mtawala?! Au Wabunge pia wanahisi ni watawala?

Na ni kwanini siku hizi Wabunge wengi wanaongea kama Cabinet Members?...kila Mbunge anayesimama Kazi yake ni kuitetea serikali as if yeye ni Waziri, sasa Kazi ya kuwakilisha mawazo ya wapiga kura, kushauri na kuielekeza serikali nani atafanya?!
Mpuuzi sana huyo jamaa.
Ni kati ya wabunge ambao 2025, hawarudi bungeni.
Ajiandae kisaikolojia kwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya
 
Juzi kwenye mjadala kuhusu Bandari,nilimsikiliza Mbunge wa Biharamuro akiwataka wananchi kuwaamini wabunge wao(spika pia akakazia). Ezra anasema this time around wabunge hawatawakilisha mawazo na hisia za waliowatuma Bungeni, instead wabunge wataamua wanavyojua au kuambiwa wao.

Swali ni je, Si kweli kwamba Kazi ya Mbunge ni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao, inakuaje pale Mbunge anapoamua kupuuza mawazo, hisia na matakwa ya wapiga kura wake na kuamua kulala kitanda kimoja na Mtawala?! Au Wabunge pia wanahisi ni watawala?

Na ni kwanini siku hizi Wabunge wengi wanaongea kama Cabinet Members?...kila Mbunge anayesimama Kazi yake ni kuitetea serikali as if yeye ni Waziri, sasa Kazi ya kuwakilisha mawazo ya wapiga kura, kushauri na kuielekeza serikali nani atafanya?!
Wewe ulitaka awatee wakina mbowe wapotoshaji wakubwa wale ,bandari hata upige kelele vipi jambo limeshapitishwa lile.

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Anatafuta Uwaziri lakini nimemsikiliza toka Bungeni na kwenye media zingine (UTV) , ni Engineer lakini uwezo wake na maarifa yake ktk sheria na mambo ya uwekezaji ni mdogo.

Ameshindwa hata kujua kwamba kwa azimio la Bunge walilopitisha hakuna mikataba midogo midogo itakayofikia ukomo na hata ikifikia ukomo itabidi iuhishwe tena kwa mujibu wa mkataba mama!

Tumeuzwa kwa waarabu kupitia viongozi vil.aza!
Sasa angekataa peke yake je lisingepita ,so Kila nanayepinga kwako ndio hautaki uwaziri,unaakili za kuku sana

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Mpuuzi sana huyo jamaa.
Ni kati ya wabunge ambao 2025, hawarudi bungeni.
Ajiandae kisaikolojia kwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya
Hakuna mbunge aliwahi kukubalika biharamulo kama huyu,wanabiharamulo wanaimani naye sana na atapita bila kupingwa

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Wewe ulitaka awatee wakina mbowe wapotoshaji wakubwa wale ,bandari hata upige kelele vipi jambo limeshapitishwa lile.

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kinyonge kweli, kwa hiyo mheshimiwa hata ikitokea watu wakiamua kumchukua mkeo wewe ni hewala tu? Wajuba wakiamua na kupitisha kuwa kuanzia leo mkeo wanammiliki wao hutakuwa hata na haja ya kupiga kelele? Dah,tuna shida sana
 
Kinyonge kweli, kwa hiyo mheshimiwa hata ikitokea watu wakiamua kumchukua mkeo wewe ni hewala tu? Wajuba wakiamua na kupitisha kuwa kuanzia leo mkeo wanammiliki wao hutakuwa hata na haja ya kupiga kelele? Dah,tuna shida sana
Wewe mbona mkeo na mamako analiwa na wajuba upo upo tu Wala husemi Wala kupigana

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom