Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Kwani Biashara washarudisha mangapi hadi useme Simba inapoteza point?Simba inapoteza point kizembe sana
WatakutukanaImagine Hii Raha Wanayoipata Mashabiki wa Mnyama ....Kimataifa bado Wapo mpaka Sasa ! Kwenye Ligi Mashabiki Wanapata Mapochopocho Na Masotojo Kama Haya...!
Utopolo Wanasikia kwa Watu tu raha Kama Hizi...!
Israel Mwenda[emoji16]Dah....Nani Man Of the Match.
1. Chama?
2.Setuba?
3.Nyoni?
4.Muzamiru?
5.Sakho?
Dah Simba tamuuu....Marioo anawasingizia Utopolo..