Huyu Chama ni mpya? Mechi nyingi za derby Chama anakuwa kakamatwa mpaka anatolewa nje.Naliangalia tena hili battle AZAM TV saa hizi, Eeeeh kumbe Chama Alitesa Kijiji.
Yaani Namwonea Huruma Mwamnyeto siku Akikutana na 'Mwamba Wa Lusaka'
Triple C Clotus Chota Chama.
Umetisha sanaTunafukuzia jitu kimyakimya, biashara anakufa 3
FT SIMBA 3-0 BIASHARA
Da unapenda ligi, Hiv hTa ukiwa unaangalia Mpira kwenye skirini matukio yote Huwa unayaona Barabara. Mëngne s unasubir Kwa hisan ya Azam kwenye replay....Kama unafutilia mbona kwenye Uzi dakika ya 30' tumeleta hiyo tukio la Kapombe kutolewa na Kuingia Patrick?
Angalia kwenye ubao hapa..!
Hivi wewe uelewa wako ukoje? Umesema huangalii mpira ila unafutilia JF, ndo maana nikakuambia kuwa hapa tumeleta kwenye Uzi tukio la Kapombe 30' kutolewa nje.Da unapenda ligi, Hiv hTa ukiwa unaangalia Mpira kwenye skirini matukio yote Huwa unayaona Barabara. Mëngne s unasubir Kwa hisan ya Azam kwenye replay....
Fanya utakacho kitakachokupa furaha moyonHivi wewe uelewa wako ukoje? Umesema huangalii mpira ila unafutilia JF, ndo maana nikakuambia kuwa hapa tumeleta kwenye Uzi tukio la Kapombe 30' kutolewa nje.
Sasa unasema tunapenda ligi sijui makorokocho gani..! ilhali nimejibu kulingana na ulivyosema, halafu wapi nimesema matukio yote unayaona?kwani ukisema hilo tukio hujaliona ni dhambi?
Unataka nianze kukudharau sasa...Unaeleweshwa unataka kujifanya kujua.
Dua wanasema la kukuUnasema apigwe halafu unamaliza na sare..Mkuu acha Wenge
WamejutaaaaLeo watajutia
🤣🤣Wamejutaaaa
Hakuwapa baadhi ya wachezaji!Julio hajafikisha mzigo?