FA Cup: Man U vs Everton

FA Cup: Man U vs Everton

Dakika ya 14 kipindi cha kwanza cha nyongeza, Everton wanapata kona na kushindwa kupata goli
 
15 za kwanza zimekatika. SAF anatafuna BIG G yake kama ugomvi anaonekana ana wasi wasi mkubwa.
 
Wow!

Kipindi cha pili cha kipindi cha pili Man U mnanusurika!
 
Dakika ya 18 inaenda hiyo,

Man U mnanusurika tena. Icadon upo wapi weyeeee?
 
Man mmetolewa kamasi leo teh teh teh teh.

6 minutes to go
 
3 minutes to go, Man U 0 - Everton 0.

Mmeshikwa sharubu kwelikweli. Icadon anasubiri kuona hali itakuwaje
 
Ni miguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu.
 
BelindaJacob,

Sema best... Teh teh teh!

Mie nachekeleeea... Mtatoka kwenye matuta?
 
Kaazi kweli kweli...

Ngoja tuone hatma ya Man U
 
Cahill kakosa na Beba tovu kakosa
 
Back
Top Bottom